Verossa vs Brevis

Verossa vs Brevis

Hizo zote ni gari moja tu hayo ni majina tu ya ubatizo na muundo wa bodi tu hakuna jipya.

Mimi nasubidili mwaka 2030 Toyota watatoa gari ambazo kwenye foleni zitakuwa zinapaa kama ndege. Hili ndio jipya.

Hahahah kweli. Ulevi ule ule imebadilika chupa tu.
 
Hhhhaaaaa hiyo kalii,mi nashangaa watu hushoboka na majina ya magari mi gari lenye sura nzuri ndio napenda kama Harrier,BMW sijui, zile vX maana kila siku magari yanatoka majina mapyaa tu kama simu

A photo can speak thousands language.
 

Attachments

  • 1411471886035.jpg
    1411471886035.jpg
    64.2 KB · Views: 437
Kwahiyo zinazouzwa madukani ni fake? Kwa nini wapenda makele wanafunga na booster wanaongeza na speaker?

Nyingi sio original mkuu, ukisikia mziki wa Brevis utakubaliana na mm
 
Kwa mtazamo wang hakna kagar kadog wal za wanawke czs kna wat hawawez ta kumilik pik pik boxer afu vitz au duet ana ita kagar kadogo afu et akapend wakat hawez ku affrd..kna wat wanamlk range na mengne yenye cc kubwa mpka 4700 n uwez wao,so kubwa angalia uwez wak na aina ya matumz,zipo gar fr mitoko na znngne fr pilika cz zipo vry economy..
 
Tofauti kati ya magari haya ni ndogo sana hasa yakiwa na injini ya aina moja.
 
Wataalam wa magari,naomba kujua kati ya gari hizo ipi nzuri kwenye utumiaji wa mafuta,comfortability barabarani nk. Nazipenda zote ila nafikiria kununua moja wapo. Ushauri wenu utasababisha nifanye uamuzi mzuri.

verossa gx110.....cc2000 tu, kuna verossa jzx110 cc 2500....kwa gx110 engine verossa sio mbaya sana ni nzuri
ukija kwenye brevis ni cc2500-3000 hivyo ulaji wa mafuta ni juu kidogo ya verossa

kwahio kama unaangalia ulaji wa mafuta chukua verossa yenye engine gx110
 
Wote ni wale wale, starehe ukiwa ndani yake moja, injini zinafanana hakuna ya cc1300 hapo, labda bodi tu
 
Nakushauri usinunue Brevis kwani hata soko lake limeshuka sana kutokana na watu wengi wanazikimbia kutokana na kula sana mafuta... Pia ukiwa na Brevis pindi utakapotaka kuliuza utauza kwa hasara... Verossa utaimudu..
 
We pimbi vipi??? Kweli mjini msingi kiuno yaani lazma ukate mauno kila thread

Mnuka kwapa mwenzangu upoo leo naona umejikojolea kabisaa na hayo majina yenu yanapenda taarabu kwelii ndio maana nakuchukulia poaa, ,punguza kujikojelea weweee kubwa zima kikojozii teh teh
 
Back
Top Bottom