zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
hahhahaah una utani na mkulu weye huwa linavaliwa wakati gani?Shati la Kikwete lenye Maua Maua hili ndio la kwanza kuona limevaliwa na Mwanaume wakati wa Sensa
akivalia suti mi hoiKe/Me huwa tunavutiwa na Baadhi ya nguo kwa tunao wapenda.
mimi binafsi Laazizi wangu akipiga kanga ikamshiba sawia juu akapga kitopu chake...akawa anaenda jikon na kurudi kwa Sebulen jaman sitoki ndani siku hyo....
Sijui wenzangu..
Jamani me my mpenzi avae naninuuuuuuu bwana!
My hubby ukivaa kikoi basiii
Du!!Hapa mnawapenzi ndio maana mnataja vazi!Sisi tunaotafuta nahatuna kwasasa mnatufanya tuweweseke tu!Jamani natafuta mpenzi wakike,mrefu wastani,white awe naunyele ulioshiba,macho yakungu pia awe naka-aibu fulani hivi!Msaada jamani!