reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,661
- 20,997
Pele anakomaa sana na yeye,Mumuombee na Pele ambaye ameshawaaga
Si akunjue moyo tuu.
Pele anakomaa sana na yeye,Mumuombee na Pele ambaye ameshawaaga
Kwa kweli amezeeka. Hata yeye naimani angependa atwaliwe akapumzike.Mungu amponye
Kabisa huyu jamaa kwangu alikuwa the best ever, highly intelligent & smartThe greatest teacher of our times is on his last moment on earth! Unajua kwa ambao si wafuatiliaji wa mambo hawajui lakini huyu mwamba ni mwalimu wa Kikristo asiye mfano kwa generations hii.
Praying for you brother in Christ!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ee Yesu wangu... nimecheka hadi kulia😆😆😆Hata kama, lakini huku futuhi njaa sana,
Unashangaa Papa naye anasema "mama anaupiga mwingi"
Kakubali ndio maan kaaga familia you ya mpira Mana Hali inakuwa mbaya kila uchwaoPele anakomaa sana na yeye,
Si akunjue moyo tuu.
Hawa ndio wakisema kazi wamemaliza, imani wameilinda ni haki kabisa. Tuna generations nyingi za ku refer mafundisho yake! Ametumia maisha yake yote kufundisha.Kabisa huyu jamaa kwangu alikuwa the best ever, highly intelligent & smart
Papa weusi wamewahi kuwepo.Hivi hakuna papa mweusi?
Uko sahihi Mkuu. Safi sana.Binadamu mwenzako anapofikwa na ugonjwa,wewe kama binadamu lazima uwe na moyo wa imani kwake hata kama ni adui yako coz still ni binadamu mwenzako tu,
Get well pope.
Anaombewa apone maradhi yanayomsumbua,haombewi ili asife coz kila kiumbe chenye uhai ni lazima kitaonja umauti.umuombee nin wakati kiwango cha kuishi alichokiweka Mungu ameshakivuka,
unataka umuombee ili aendelee kuwa hai mixa mateso ya magonjwa.
Wameondoka Yesu Kristo, Bwana na Mwokozi; wakaondoka mitume, manabii, walimu, na mashahidi ndio itakuwa Joseph Ratzinger? Tumwombee afya njema.Yeye si ndo yupo Karibu zaidi na mungu, si amwombe amwepushie kikombe AU ampe cha maziwa.
ni kweliHuyu si alikuwa mwakilishi wa Mungu Duniani? Nadhani safari ya kurudi kwa muumba wake inapaswa kuwa sherehe.....au mimi nakosea?
Kwa umri wake tumwombee safari njema.Wameondoka Yesu Kristo, Bwana na Mwokozi; wakaondoka mitume, manabii, walimu, na mashahidi ndio itakuwa Joseph Ratzinger? Tumwombee afya njema.
Hivi hakuna papa mweusi?