Vashko sande amuoa mama mkwe wake

Vashko sande amuoa mama mkwe wake

Rekebisha palipokosewaUislamu ni wewe umeuingiza kwa kutafuta uchochezi
dini ziko nyingi zinazoruhusu wake wengi sijaona sababu ya kunilazimisha kusema uislamu unahusikaNdio dini ninazozungumzia hapa hizo za machifu
Ungeniqoute mwenyewe ningeweza.

All the best lakini kila mmoja hujitasiri kwa alivyo.
 
Looh hivi si ndiyo mnasemaga mwanamke akizeeka na utamu wake unaisha hivyo hafai kuolewa sasa hapo what is not happening??
 
Sijui kwanini wanawake nao hawakuelekezwa na vitabu vya dini kuishi na waume zao kwa akili...mtu anaenda kukuolea mama yako mzazi bado upo tu dah...utii wa namna hiyo hapana kwa kweli... sijui wanatazamana vipi usoni hao watu
 
Uislamu upi unaouzungumzia? Kukaa kimya ni bora zaidi
Uislamu wa Mashariki ya Kati, wa Tanzania hauruhusu, full stop.
Na huko mashariki ya kati ikiridhiwa unakula mama yako, huku Tanzania hapana
 
Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Vashko Sande amemuoa mama wa mke wake aliyekuwa mapenzini nae kwa siri kwa muda wa miaka saba

====


tumfweko.com
Man Marries His Mother In-Law As Second Wife After Seven Years Of Secret Dating
Editor01
2 minutes

A Zimbabwean man Vashko Sande has shocked people after marrying his own mother in-law as a second wife whom he dated secretly for 7 years, says he is his own father-in-law.

Vashko Sande did the unthinkable when he fell in love with his mother-in-law, betraying his wife’s trust.

He reportedly became wild and abusive after finding new love and even elders failed to “discipline” him as he defied social norms and married the woman as his second wife.

The wife, Vimbai Magora, failed to come to terms with her husband’s abusive behaviour forcing her to seek help from the long arm of the law.

Magora in her application for a peace order said: “We got married in 2008 and since 2011 my husband became hostile as he had fallen in love with my mother.

“He started beating and insulting me, threatening to chase me and my four children out of our matrimonial home.”

She further revealed that even family elders failed to resolve their problem as he never listened to their advice, but continued in the relationship with his mother-in-law putting their marriage on the rocks.

In response, Sande confirmed the allegations levelled against him saying he loved the two women and wanted to spend his life with them.

“It is true that I am in love with her mother, but I still love my wife as well. Therefore, I would like to spend all my life with them,” said Sande.

Zvishavane magistrate Shepherd Mjanja granted the peace order in favour of Magora.

Sande was ordered not to physically and emotionally abuse his first wife.
View attachment 1246948
Dunia imebadilika for sure.
 
Back
Top Bottom