ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Miezi 10 iliyopita niliamua kufanyiwa uzazi wa mpango kwa kutumia ile njia ijulikanayo kwa jina la VASECTOMY. Hii ni baada ya kuona mwenzangu 'hesabu' zimemshinda kabisa. Nikaona ili kuepuka uwezekanao wa kuwa na familia yenye idadi ya timu ya mpira-maana watoto 8 ktk ndoa ya miaka10 sio mchezo-nikaona acha jukumu la uzazi wa mpango nilichukue mwenyewe. Nikaamua kufanyiwa vasectomy.
Miezi miwili imepita sasa, nimegundua mke wangu ni mjamzito, tena wa miezi 3. Hii ni baada ya kuona dalili zile zinazoambatana na mimba changa. Nilipohisi nikaamua kumpeleka hosp lakini bila yeye kujua, nikaongea na daktari ampime mimba na anipe majibu privately. Mungu si Athumani, vipimo vikaonyesha mke wangu ana mimba ya miezi miwili. Sikuonyesha kushangaa mbele ya dr kwani sikutaka ajue mshangao wangu ktk hilo. Hata hivyo wife ameshaanza kuhisi kuwa amenasa, na amekosa amani ghafla.
Awali nilidhani huenda hiyo operesheni haikufanywa vizuri, lakini nilipoenda kuangaliwa upya mtaalamu iko sawa na nisingeweza kumtia ujauzito my wife. Hivyo ni wazi mimba hii ni ya mwanaume mwingine.
Wajemeni naomba mnishauri nifanyeje. Na kama ni adhabu, nimpatie adhabu gani..........nimchinje, nimpe talaka, au niendelee kulea 'kiumbe cha mwanaume mwingine?
Miezi miwili imepita sasa, nimegundua mke wangu ni mjamzito, tena wa miezi 3. Hii ni baada ya kuona dalili zile zinazoambatana na mimba changa. Nilipohisi nikaamua kumpeleka hosp lakini bila yeye kujua, nikaongea na daktari ampime mimba na anipe majibu privately. Mungu si Athumani, vipimo vikaonyesha mke wangu ana mimba ya miezi miwili. Sikuonyesha kushangaa mbele ya dr kwani sikutaka ajue mshangao wangu ktk hilo. Hata hivyo wife ameshaanza kuhisi kuwa amenasa, na amekosa amani ghafla.
Awali nilidhani huenda hiyo operesheni haikufanywa vizuri, lakini nilipoenda kuangaliwa upya mtaalamu iko sawa na nisingeweza kumtia ujauzito my wife. Hivyo ni wazi mimba hii ni ya mwanaume mwingine.
Wajemeni naomba mnishauri nifanyeje. Na kama ni adhabu, nimpatie adhabu gani..........nimchinje, nimpe talaka, au niendelee kulea 'kiumbe cha mwanaume mwingine?