Tuna kazi kubwa ya kupigana na utumwa wa kifikra. Kuna wanamuziki wengi wanaofanya vizuri na wanavaa nguo za heshima. Sasa hawa wanaovaa nguo kama wawakilishi wa SHETANI sijui lengo ni nini.
watu wanachuki sijawahi ona....dasa hizi lawama za mskalio meusi kama lami zinatoka wapi??huo weusi ni upi wa kumsimanga hivo..hiyo ni rangi yake halisi na kama usoni ni make up.
waswahili dawa yao kuwapuuza tu.