Valentine Day tunaanza hivi! tazama picha

Valentine Day tunaanza hivi! tazama picha

Watu na bahati zao! Wangu niliwatoa Temeke Hospitali wakiwa ndani ya sanduku na mama yao tayari kwa mazishi. ilikuwa 2011. Mpaka leo sijatulia saikolojikali...
Majina nayo pia yanachangia sana balaa na nuksi kwenye maisha haijalishi unajipa kwa utani. so watch out broo...
 
Hehehe n anaitwa sweet bby

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Jast Bleiz;8670727]Majina nayo pia yanachangia sana balaa na nuksi kwenye maisha haijalishi unajipa kwa utani. so watch out broo...
Kwa jina gani ulilonalo mwenzangu?!!!

 
pole sana mkuu tuwaombee waliotanguli na sisi tujiweke tayari kwa safari(mauti)
mimi wangu nimezika mwezi wa kwanza tarehe 15 / 2014 ingawa mke yupo hai inauma sana aisee

Pole Mwenzangu.... Kilichobaki ni sala tu!
 
dah

na mie nikifikisha miaka sbini naanza upya kama mzee wetu... ila sitakamata cha namna hiyo

natafuta sista kabisa namvua na shela tunaanza upya wote
 
Huyo mama watoto aliwai kuwa miss miaka ya nyuma au macho yangu?
 
1779771_632469543456816_556609459_n.jpg


kama hutaki basi......

Nyongeza huekwa kwenye fungu!
 
Kumbe wazee nao wanapenda vitu vizuri alafu viwe vidogo kiumri ila ninachojiuliza tu sijui alianzaje kumshika ndege tunduni adi yule shalobalo akamwagwa.....

Njiwa wake mtama!
 
Alihaidiwa utajiri. Si unajua watu wenYe asili ya Rwanda wanavyojua kupiga hesabu ya kuona mbali, wamebarikiwa. Dada zetu wamekalia uzezeta tu, mbali wanaona kiza.
 
1779771_632469543456816_556609459_n.jpg


kama hutaki basi......

kale ka msemo ka mwenye wivu ajinyonge kamenihusu barabara.wallah namuonea wivu sana mzee machache.kweli wakubwa wanafaidi.....halafu huyo twin brother aliyeshikwa na jackline naona anaelekea kufanana na kaka yao mkubwa,the late rodney mutie mengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom