Valentine Day tunaanza hivi! tazama picha

Valentine Day tunaanza hivi! tazama picha

FTP

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2013
Posts
514
Reaction score
240
1779771_632469543456816_556609459_n.jpg


kama hutaki basi......
 
Kumbe wazee nao wanapenda vitu vizuri alafu viwe vidogo kiumri ila ninachojiuliza tu sijui alianzaje kumshika ndege tunduni adi yule shalobalo akamwagwa.....
 
Kwani hao wanani jamani? Au ndo Didie Drogba na Ciara? Nauliza tu?

Ni yule jamaa HASIYETAJWA kayika JF akiwa na kipusa chake kilicomzalia watoto wanaonekana.
 
Naomba kuulidha hivi huyo mdada ni raia wa Tandhania au mmalekani?
Thijawahi kuona mtandhania mdhuri hivyo thijui kama naye anakunyaga!!!
 
Napenda sana mapacha.....

Watu na bahati zao! Wangu niliwatoa Temeke Hospitali wakiwa ndani ya sanduku na mama yao tayari kwa mazishi. ilikuwa 2011. Mpaka leo sijatulia saikolojikali...
 
Watu na bahati zao! Wangu niliwatoa Temeke Hospitali wakiwa ndani ya sanduku na mama yao tayari kwa mazishi. ilikuwa 2011. Mpaka leo sijatulia saikolojikali...

Wewe sio kama huna bahati usiseme hivo unamkosea mola,kila chenye kupumua basi ipi siku kitakufa,sote ni wafu tulio hai tukisubiri siku zetu za kuiaga dunia,wao wametangulia nasi tunafuata.....


Mungu awalaze mahali pema peponi ,amina
 
Watu na bahati zao! Wangu niliwatoa Temeke Hospitali wakiwa ndani ya sanduku na mama yao tayari kwa mazishi. ilikuwa 2011. Mpaka leo sijatulia saikolojikali...

Pole sana, utakuwa sawa Mungu atakusaidia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom