Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,045
Wewe sio kama huna bahati usiseme hivo unamkosea mola,kila chenye kupumua basi ipi siku kitakufa,sote ni wafu tulio hai tukisubiri siku zetu za kuiaga dunia,wao wametangulia nasi tunafuata.....
Mungu awalaze mahali pema peponi ,amina
Amen! Ni hali ya kibinadam kulialia, hasa ktk hili zito. Asante!