Vacancy for ladies

Ila kwa upande mwingine me naona ni sawa tu. Kukaa na mtu ambaye haelewi unaongea/unataka nini ni kazi. At least levels ziendane ili kuwe na "common understanding"

Yap!, true.
Halafu 'common understanding' inajenga vizuri urafiki mnapo discuss vitu tofauti kwa kina, as a result, relationship inakuwa deep pia.
 
Umesahau sehemu ya experience mkuu!
Matangazo ya vacancy hua yanaweka miaka ya experience inayohitajika.
 
hongera mkuu.. swali la kizushi huendag church nini?? au hupendi kujichanganya sana.. zile za harusini, makongamano, etc...

nice ladies huko wapo kibao tena wa ana kwa ana kuliko hawa wa mitandaoni.. japo ni same people ila kukutana nae ana kwa ana ni better than mtandaoni...

sehem rahis sana ya kutega ni harusini, au zile mwakasege semina..

bila kusahau church church na jumuia....

kama upo serious na msako huko ndio sehem sahihi zaid..

nashangaa now days nakutana na wife materials wengi sana kuliko enz za u bachelor.. so vijana ambao mnawinda yaelekea hamuwindi vizuri wadada wenye quality za kuolewa wanakosa waume


Hello everyone,

This is to inform you that there exists a vacancy for a young beautiful lady who is looking, willing and committed to settle down and begin a family.

I am a young Christian man who earns a living through farming, business and public service.

I therefore invite applications from a responsible, decent and serious lady who fully seeks to commit herself to marriage life.

REQUISITE VALUES:
- Must be of age between 18 - 30 years
- Must be purely a girl (not a single mother)
- Must be of good health
- Must have an entrepreneurial mind
- Should be decent, responsible, presentable and have business acumen.
- Sharti la ziada: kama ni member wa JF basi awe member walau kwa mwaka mmoja.

NB: Only serious and committed applicants are encouraged to communicate. Suitable and interested applicants can get in touch through PM.


Welcome!



Deadline: nikishampata...

PS: Wanasheria wana msemo, "There is always an exception to the general rule."

Kama upo unasoma hapa na unajihisi unafaa kuwa na mimi na kuna baadhi ya vigezo hujafikia usisite kuja na kuelezea hisia zako.
 
hongera mkuu.. swali la kizushi huendag church nini?? au hupendi kujichanganya sana.. zile za harusini, makongamano, etc...

nice ladies huko wapo kibao tena wa ana kwa ana kuliko hawa wa mitandaoni.. japo ni same people ila kukutana nae ana kwa ana ni better than mtandaoni...

sehem rahis sana ya kutega ni harusini, au zile mwakasege semina..

bila kusahau church church na jumuia....

kama upo serious na msako huko ndio sehem sahihi zaid..

nashangaa now days nakutana na wife materials wengi sana kuliko enz za u bachelor.. so vijana ambao mnawinda yaelekea hamuwindi vizuri wadada wenye quality za kuolewa wanakosa waume
Hii theory ya church mkuu niliijaribu, kanisa ninalokwenda pensioners kibao, sasa nimeamua kuwa ninakwenda kusali tu, hayo mengine hayawezekani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom