'V' yaniletea balaa kwenye SEX!

'V' yaniletea balaa kwenye SEX!

Erotica ...!
Mwezi mmoja tu tangu ujifungue tena mapacha, bila kupumzika, bila kurudisha afya bila hata kupata wasaa wa kutafakari safari yako nzima ya miezi tisa .... Ukaamua kurudi kwenye mambo ya ndoa kwa staili ngumu hivi ..... ya kutumia V ..... wakati umejisifia kuwa wewe na yeye wooote mko vizuri ..., Tatizo ni nini? Uchu? Tamaa? Hamu? Au ulimiss sana hogo?
We rudi tu aiseee ukazime moto uliouanzisha mwenyewe, nahisi kama ulitaka mwenyewe vile mdogo wangu!!!
 
Last edited by a moderator:
Erotica ..utavunja mgongo huo bado haujakomaa
mie thimo
 
Last edited by a moderator:
Nimekimbilia dikshenari ya kiswahili ili nipate maana ya wapole ni nini

Na kweli bora wasiitwe jina lako. Manake kama wakichukua tabia za mwenye jina wakamix na za mama yao, patachimbuka kabisa. Bora mie na kaunga ni.wapole kwa asili
 
Pole sweetie, ngoja nije nikukande na barafu! LOL
Missed you sana!
 
kwiwkwiwkwi karibu mzazi... pole na libeneka.. we mwnyewe umetengeneza hayo mazingira yaweje sasa yakushinde... linywe tu, weka feni ipooze kwanza.
Lara1 akija kukusaidia kwa jinsi navyomjua jamaa harudi tena kwako
wape hi twince.. waambie baba mdogo anakuja kuwachukau sikukuu.
 
mamito lea pacha wako kwanza.......duuuh we mkareeeee
 
Hey wapenzi niliwamissije? hebu plz nisaidieni mawazo wajameni!

Ero na kihere here changu cha kumiss sex na staili zote matata kumenifanya niwe na husuda
ya kufanya sex non-stop. Nikaweka mazingira yote yanayo chochea uwepo wa non stoppable sex,
hali ya hewa safii, mazingira ya mwili na room safii, na mdeko wa kufa mutu hadi kungwi nimekula
kulegeza hili jicho langu ambalo lipo so sexy!

V ikawa ni kiungo pia cha kuwezesha hilo. Nakakumbuka mshikaji kati ya washikaji aliyekuwa najuwa
majamboz kiukeli! Mshikaji amekuja nimemuwekea V kwenye kinywaji chake bila yeye
kujitambua mana nakumbuka huko nyuma alivyokuwa anawaponda vidume wenzie ambao
wanatumia V kuongezea chachu na sio siri jamaa is really good katika mchezo!
Si utani ni rijali wa kutosha! :violin: V yangu nikachukua kwa siri nikanywee jikoni asikione wakati nakunywa!

Mungu si Boflo wala Kaunga, kidonge kimenipokonyoka na kuangukia kati kati ya sink na
kuzama kwenda kwenye bomba chafu. Hamadi nageuka jamaa huyu hapa nyuma ready to shoot the gun!
Kaninyanyua kama karatisi hadi bed na kulianzisha kwa mikeke! Mie na genye zangu huyo nikachekelea!

Nime enjoy hadi goli la 5, nipo hoi, sijiwezi na ujanja wangu wote kapuni!
Hapa nilipo niko choni ku post hii mara moja mnipe ushauri bastola ya jamaa nitailegeza vipi iwe mnati?
Genye zimeisha, nguvu zimeisha mwili wote unauma yupo kunisubiri kwa hamu kana kwamba haja du kabisa!
Na mimi sitaki tena! Nahisi hadi maumivu!

BTW nipeni hongera nimejifungua salama watoto mapacha wa kike wapo so sexy mwezi mmoja ulio pita!



Mwaaaaaaaaah! Me love you all :A S-heart-2:

Erotica a.k.a Mamaaa pachaz!:A S-baby:

Aiseee we ni mkali! Story yako ni nzuri sema tu fictions zimezidi (kuna vijisehemu ulipojichanganya u katika kuufosi uongo Kuwa ukweli!) Hongera sana wasiliana na Mzee Mwanakijiji akueditie! Kila la heri a good novel writer!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Erotica mamito karinu tena! Lakini nap ends kujua nani awalea wajomba kwa sasa Kati ya wake jamaa watatu? Missed you thana!
 
Nilikumisije Erotica. Kwanza hongera kwa dabo, twins, mapacha.

Ivi uliwapateje hapo ACMC ni kawaida au kisu. Iwe iwavyo hongera.
Naona jinsi ulivyofaudu kwa kweli.

Hongera kwa ufaudu & welcome back.

Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
this is the Erotica pepo use to tell me about!nilikutaamnijeeeee ahasante kwa kunipa booonge la first impression!litastaije sasa?weh!
pole lakini mwaya !kalia beseni la barafu!
 
Last edited by a moderator:
mbona umejishtukia? kwani wewe tu ndio uliyetoa comment mwanzoni?

Nimejitaja jinaaaaa? Nimesema MIE nikimaanisha huyo ULIEMTAJA!!!!!!!!!! By the way i was jst kiding maana naona ishakuwa ishu
 
moz-screenshot.png
 
Back
Top Bottom