BATTO napafananisha sana na Mufindi Iringa ila kwa sasa hivi kupita sehem kama hizo usiku watoto wa panya road ni halali yakohahaha.. umesahau kaubaridi cha hapo kama 2po mufindi vile mkuu.
BATTO napafananisha sana na Mufindi Iringa ila kwa sasa hivi kupita sehem kama hizo usiku watoto wa panya road ni halali yako
Na kuna msitu fulani ukitoka tu Geita mjini unakutana nao na mwingine ukitoka Kahama Mpaka Ushirombo na kutoka Ushirombo mpaka Runzewe na Runzewe mpaka Nyakanazi hapo kati kuna misitu mikubwa sana
BATTO hapo ukipita kigiza kimeingia utakutana na magogo na mawe barabarani wanakusubiriNakubaliana na wewe asilimia mia panya road kuhusika hapo..,
aaakh! huku kutakuwa ulaya.....sipakubali kivile