Uzuri wa sehemu hizi

Uzuri wa sehemu hizi

BATTO

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2014
Posts
282
Reaction score
207
393056_316493061786183_477835835_n.jpg
Sijui unapafananisha na wapi hiyo.,!
 
pazuri ila panatisha kwa kupita usiku aise mhhh usije ukakutana na watoto wa panya road
 
hahaha.. umesahau kaubaridi cha hapo kama 2po mufindi vile mkuu.
BATTO napafananisha sana na Mufindi Iringa ila kwa sasa hivi kupita sehem kama hizo usiku watoto wa panya road ni halali yako
Na kuna msitu fulani ukitoka tu Geita mjini unakutana nao na mwingine ukitoka Kahama Mpaka Ushirombo na kutoka Ushirombo mpaka Runzewe na Runzewe mpaka Nyakanazi hapo kati kuna misitu mikubwa sana
 
Last edited by a moderator:
BATTO napafananisha sana na Mufindi Iringa ila kwa sasa hivi kupita sehem kama hizo usiku watoto wa panya road ni halali yako
Na kuna msitu fulani ukitoka tu Geita mjini unakutana nao na mwingine ukitoka Kahama Mpaka Ushirombo na kutoka Ushirombo mpaka Runzewe na Runzewe mpaka Nyakanazi hapo kati kuna misitu mikubwa sana


Nakubaliana na wewe asilimia mia panya road kuhusika hapo..,
 
Pori la Ushirombo ambalo lipo Mkoa wa Shinyanga njia ya kwenda Rwanda na Burundi lilikua hivi, ila pita leo jamaa wamesafisha msitu wote wameshafyeka ogopa wasukuma weyeee
 
Back
Top Bottom