Uzuri wa jiji la Mwanza

wanawake wao wana adabu mno alafu ni mafundi mno kwenye kutoa ndogo sio wachoyo kabisa

#Zitto

Navyojua mimi mwanza wamejaa Wasukuma, Wakerewe, Wahaya, Wajaluo na makabila mengine madogomadogo. Hivi Lisukuma au Likurya utaanzaje kuliomba tigo we mzaramo ? Hayo mambo yamezoeleka huku kwa wachora hina, huko itakuwia vigumu watu wenyewe panga mkononi unaweza kujikuta unaliwa wewe!
 
Last edited by a moderator:
Reactions: nao

Kipindu pindu huwa kinalipuka wapi sana sana?!
 
Mwanza ni sehemu nzuri kuna mengi yakuvutia.

1. Watu wakarimu

2. Hali ya hewa ni moderate sio joto sana wala baridi

3. Ni sehemu yenye usalama hakuna matukio mengi ya uhalifu

4. Kuna "great lake Victoria". Inapendeza sana ukipata nafasi na kutembelea ziwa hili zuri kabisa duniani. Pia usisahau island kama Sanane. Unabanda boat 2000/- yako tu unafika island.

5. Mwanza kukuna uhaba wa chakula naweza sema life ain't difficult kama umejipanga kiaina.

6. Pia Mwanza ni aina ya jiji halina watu wengi ukitembea town ni poa sana hakuna kero.

Naishi A-town pia nimesoma Mwanza three years so ni sehemu mzuri.
 

wengi wenye vimisemo kama vyakwako kwa hapo dar kwenu niwazee waungaunga mwana..hamna kazi zaidi ya upambe au ukuwadi nakuhesabu wenyehela au kujuana na mnaowaita masupastaa au viongozi...Ndomana huwe kuhama dar sababu kazi yakokubwa nikupiga watungeo maisha yako yanasonga...
kwakukujibu tuu swala lako la msingi labda nikwamba serikali zote zilizopita ziliposhidwa ku centralize utawala pamoja na mgawanyo wamapato...!!!
 
huwa nafurahigi kuyaona yale maua ya villa park ya usiku
 

Kamanda upo sawa maeneo mengi.Lakini umechapia swala la populatio kwamba population ya Mz n mara2 kuipata Dar, hapo ni karibu sana.DAR ina population inakimbilia mılıon 6.Mwanza ni katı ya lakı 4-7.Hata mkoa mzima wa Mwz pamoja na wingi wake populatıon ndogo kuliko Dar.Hata hvyo hatulinganıshı miji miwili bali uzuri wa Mwanza.HAKIKA MWANZA NI KUZURI SANA NA PA KIPEKEE.NI RAHISI KUFIKIA NCHI ZOTE WANACHAMA WA EAC KUTOKEA MZA,ZIWA,VYAKULA,FURSA N.k.
 
Wakuu:

Hivi uzuri wa jiji la Mwanza uko hasa kwenye vitu gani hebu tuhabarishane hapa kwa wanaolifahamu zaidi jiji hilo.


Nawasilisha

Jiji la mwanza hali ya hewa ni mzuri sana kulinganisha na jiji la dar,vyakula vingi sana na bei rahisi na mandhari ya milima na miamba iliyo lizunguka hilo jiji.
 
Wiki mbili zilizo pita nilikuwa maeneo ya Nera Mwanza kilo ya nyama sh.elfu tatu mia tano katika mabucha kama nane!!
 

Uuwaji wa albino sio magendo inamaana ni halali? Huko mnaongoza kwa uchawi ndio maana albino mmewafanya dili uko
 
Zeddicus zu'l zorander

Rock bottom kwenye jengo la Gold Crest, Club Fusion kwenye jengo la Mwanza Hotel...
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…