Uzuri wa jiji la Mwanza

Uzuri wa jiji la Mwanza

mall_zpshh8rrqd5.jpg


mall1_zpstfbtnw4k.jpg


1975023_10200247165617600_6521215880266043628_n.jpg
 
Nyie wadau wa mwanza ni kipi kilichopo mwanza Dar hakipo?.Na hizo picha mnazoonyesha mbona ni jengo hilohilo mnarudiarudia.Semeni kipi cha kulipamba hilo li mwanza lenye mabugando ya kuhesahika?
 
Nyie wadau wa mwanza ni kipi kilichopo mwanza Dar hakipo?.Na hizo picha mnazoonyesha mbona ni jengo hilohilo mnarudiarudia.Semeni kipi cha kulipamba hilo li mwanza lenye mabugando ya kuhesahika?

Hali ya hewa safiii,hakuna foleni,ulinzi na usalama 100%
 
Amani na usalama hamna kitu,na kama hakuna foleni jua mzunguko wa pesa pia ni mdogo maana yake hakuna mishemishe.Miji yote yenye ubize wa pesa foleni lazima.Hali ya hewa inashinda arusha au Bukoba?
 
Amani na usalama hamna kitu,na kama hakuna foleni jua mzunguko wa pesa pia ni mdogo maana yake hakuna mishemishe.Miji yote yenye ubize wa pesa foleni lazima.Hali ya hewa inashinda arusha au Bukoba?

Miji ipi yenye ubize wa Pesa?!
 
Amani na usalama hamna kitu,na kama hakuna foleni jua mzunguko wa pesa pia ni mdogo maana yake hakuna mishemishe.Miji yote yenye ubize wa pesa foleni lazima.Hali ya hewa inashinda arusha au Bukoba?
Hivi unajuani kiasi gani cha fedha kinapotea kutokana na traffic jam.
Unajua ni muda kiasi gani ambao ulipaswa kutumika katika uzalishaji lakini unatumika kwenye foleni
Kinacho ibeba Dar es salaam ni pamoja na wingi wa watu idadi ya watu wa mwanza inaingia
mara mbili na ushee kwa ile ya Dar.
Lakini kwenda na ukweli ni wangapi wenye vipatovya kueleweka dar.
Adding on that mwanza haina scandals za madawa ya kulevya kama ilivyo dar
Uchumi wa majiji yetu unachangiwa sana na magendo gendo deal deal
ujanja ujanja tu ambapo nazani kwa majiji dar ni kinara
 
Sasa wewe unafikiri hao watu kwa nini wakimbilie dar kwenye foleni na si mwanza ambako kwa madai yako hakuna foleni na hali ya hewa ni nzuri.Ubapopima pesa inayopotea zungumzia pia inayoingia.Bora ya Dar pesa inapotea kwenye foleni lakini ndiyo unaonekana wenye unafuu kwenye utafutaji.Dar ndugu kulala njaa kupenda.Kabla hatujaendelea iiulize serikali nini kinawapa kigugumizi kuhama Dar.Hata mbunge wako kama si kuishi basi anakitega uchumi Dar.
 
wewe umejuaje kama ni zuri? inamaana ulishawahi kufika, kama umeskia inamaana umeskia na sifa zake.
-ni mji msafi
-utulivu
-population ndogo hivyo hauna foleni na misongamano isiyo ya msingi.
-usalama
-hali ya hewa
-supu ya samaki buk3 tu
nk

Usalama lakini sio kwa ndugu zetu Albino
 
Amani na usalama hamna kitu,na kama hakuna foleni jua mzunguko wa pesa pia ni mdogo maana yake hakuna mishemishe.Miji yote yenye ubize wa pesa foleni lazima.Hali ya hewa inashinda arusha au Bukoba?

Uko sahihi, MISHEMISHE kweli hakuna mwanza, kama hauna shughuli formal usitegemee kuganga kwa udalali wa simu au kutapeli watu. Mwanza ni mji mdogo sana kiasi kwamba ukitapeli mtu leo uhame kabisaa uende bukoba.
 
Ndugu wewe unayeahadadia mwanza ,siki hizi ukifika kwenye mikoa mingine na ukasema unaishi mwanza wenye ndugu zao albino wanaanza kufinyana.Wanahisi umetumwa na waganga.Hiyo mwanza yako si salama tena.Saidia kuelimisha hao waganga wenu feki.Waambie wametutia aibu duniani na mbinguni.Kama kweli wao ni waganga kweli MV Bukoba isingezama hapohapo mjini.
 
Back
Top Bottom