Uzuri wa jiji la Mwanza

Uzuri wa jiji la Mwanza

Uzuri wa mwanza wala siyo majengo, mwanza hakuna majengo ya maana. Mimi naamini uzuri wa mji si majengo, si wingi wa magari wala si wingi wa watu.
 
Rene nenda uendako,zunguka utakavyo,uzuri wa mahali ni upatikanaji wa pesa.Tumbiri na nyani wanakimbia msituni walikozoea na kuja kusimama kando ya barabara unafikiri wanangoja nini.!?
 
Mi nimetembea karibia mikoa yote TZ, ila Dar ndo kila kitu kwa TZ. ukiona joto kajenge pembezoni mwa bahari,foleni cheza na ramani ya jiji kichwani,ila Mwanza ndio inakuja kwa mbaaaaali sana
 
Uzuri wa mwanza wala siyo majengo, mwanza hakuna majengo ya maana. Mimi naamini uzuri wa mji si majengo, si wingi wa magari wala si wingi wa watu.

mkuu hakuna majengo ya maana ukilinganisha na wap hapa tz zaid ya dar :lol::lol:?
 
Nyie wadau wa mwanza ni kipi kilichopo mwanza Dar hakipo?.Na hizo picha mnazoonyesha mbona ni jengo hilohilo mnarudiarudia.Semeni kipi cha kulipamba hilo li mwanza lenye mabugando ya kuhesahika?

Kingine hakuna Panya Road kama wa Dar,na hata wakiwepo Wanaume wa Mwanza ni jasiri watapambana nao sio kama wa Jiji kuu wanaokimbia na kuwaacha wamama na watoto wakihangaika.
 
Mi nimetembea karibia mikoa yote TZ, ila Dar ndo kila kitu kwa TZ. ukiona joto kajenge pembezoni mwa bahari,foleni cheza na ramani ya jiji kichwani,ila Mwanza ndio inakuja kwa mbaaaaali sana

Na kweli Dar ni mambo yote,uchafu,Panya Road,uhaba wa maji vyote vipo Dar!
 
mkuu hakuna majengo ya maana ukilinganisha na wap hapa tz zaid ya dar :lol::lol:?

Nimekaa sana Mwanza, hakuna majengo mazuri ukilinganisha na Dar, hata Arusha, only recent days ndiyo naona majengo yanaibuka Mwanza, majengo ni uwekezaji, mtu akijenga anategemea pesa yake irudi ndani ya muda muafaka ili apate faida, mzunguko wa Mwanza ni mdogo, hata mzawa wa Mwanza aliyekulia na kuishi mwanza itahitaji roho ngumu sana kuwekeza a couple of billlions kwenye jengo. Kiufupi ni unfair kulinganisha majengo ya Mza na Dar. Pamoja na hayo yoote bado napapenda Mwanza kuliko Dar, kinachotulazimu kakaa Dar ni kazi tu.
 
Kukariri kubaya sana. Siyo lazima mji ukiwa busy uwe na Foleni za Karaha kama Dar es Salaam na Lagos. Ni ubovu tu wa mpangilio wa barabara. Nchi ya China kila mji una watu mamillion kwa mamilion, lakini hakuna adha hii!
Asante sana mkuu, nadhani aliyedai hivyo amekusoma...
 
Mleta mada sijakuelewa ulitaka kutuambia nini, I hope humaanishi Mwanza ni zaidi ya Dar.


Lengo langu ni kujadili uzuri wa Mwanza ktk nyanya zote za kimaisha kama inavyodaiwa na watu wengi siku hizi kua Mwanza ni mji mzuri sana hapa Tz kwa mfumo rahisi wa kimaisha ikiwa ni tofauti sana na Dar.
 
Asante sana mkuu, nadhani aliyedai hivyo amekusoma...

We mkazi wa milimani Usidanganye watu hapa.

Nyie ndio mnaoshi kule mabatini milimani mnakunya kwenye milima na kujichambia mawe,
matokeo yake ikinyesha mvua Mizigo yenu yote inaporomoka Kule chini na kusababisha vipindupindu.

Nyie wajaluo wachafu sana
 
Nimekaa sana Mwanza, hakuna majengo mazuri ukilinganisha na Dar, hata Arusha, only recent days ndiyo naona majengo yanaibuka Mwanza, majengo ni uwekezaji, mtu akijenga anategemea pesa yake irudi ndani ya muda muafaka ili apate faida, mzunguko wa Mwanza ni mdogo, hata mzawa wa Mwanza aliyekulia na kuishi mwanza itahitaji roho ngumu sana kuwekeza a couple of billlions kwenye jengo. Kiufupi ni unfair kulinganisha majengo ya Mza na Dar. Pamoja na hayo yoote bado napapenda Mwanza kuliko Dar, kinachotulazimu kakaa Dar ni kazi tu.

Kweli kabisa
 
Nimekaa sana Mwanza, hakuna majengo mazuri ukilinganisha na Dar, hata Arusha, only recent days ndiyo naona majengo yanaibuka Mwanza, majengo ni uwekezaji, mtu akijenga anategemea pesa yake irudi ndani ya muda muafaka ili apate faida, mzunguko wa Mwanza ni mdogo, hata mzawa wa Mwanza aliyekulia na kuishi mwanza itahitaji roho ngumu sana kuwekeza a couple of billlions kwenye jengo. Kiufupi ni unfair kulinganisha majengo ya Mza na Dar. Pamoja na hayo yoote bado napapenda Mwanza kuliko Dar, kinachotulazimu kakaa Dar ni kazi tu.

umefafanua vizuri nimekupata kaka :happy::happy:
 
Back
Top Bottom