Uzoefu wa Kukaribia Kifo

Hapana ni udadisi tu halafu hataki kufunguka!
Anakutania tu hakuna kitu kama hicho.
Meditation does not have to do with NDE kufa ni kufa tu...

Hata near death experience pale mtu anakuwa inaonesha kama amekufa ila bado you hai... Yaani mwili wake unakuwa na some sort of energy kupokea spirit..

Ndo maana huwa kuna kuwa na separation kati ya soul and body kwa muda kadhaa kabla soul haiajrudi ndani ya body..
 
Talking about meditation, inakufanya uwe na realization kuwa you aren't the body and mind alone....

You are essentially a soul habouriing the body and mind.

NDE makes you really and fully realize the incomprehensible power of your soul and spirit. Ndo maana mtu akishinda NDE huwa anarudi akiwa unstoppable
 

Haya mambo haya.
 
Nina miaka kadhaa kwenye mambo haya ila pia kuna mapya tunazidi kujifunza. Kadri unavyozidi kujifunza ndio unagundua safari ya kujifunza haina ukomo.

Science + spirituality + philosophy.
There's no amount of learning that will make you enlightened!

Labda kama unataka kuikuza ego?
 
Learning is an endless process and the more I learn the more I see myself that I know nothing.
Sasa why waste time learning and not unlearning?

Infact true zen spirituality entails the letting go of what you think you know. It's all about letting go of the need to know, thus knowing everything. Most of which unataka kujua ni smokes and mirrors
 
Hii Kuna wanasayansi washa ifatilia Lakini sio Kwa mantiki ya kifo

Inaitwa Astral body projection
Fatilia hiyo Mkuu
 
Huku mtaani kwetu miaka ya nyuma kuna jamaa alikuwa mgonjwa akapelekwa hospitali, baada ya siku kadhaa madaktari wakathibitisha amefariki dunia na kuwajuza ndugu zake.

Akapelekwa mochwari then ndugu wakachukua mwili kwa ajili ya maandalizi ya maziko. Akasoshwa na kufanyiwa taratibu zote anazofanyiwa maiti, ajabu wakati wanataka kuswalia maiti watu wa karibu na jeneza wakasikia mtu amepiga chafya kama mara tatu na kama mnavyojua muda wa kuswalia maiti kunakuwa na ukimya, ghafla wakaona jeneza linatikisika.

Watu waliopo msibani wakaanza kukimbia huko na huko, masheikh na watu kadhaa ikabidi wachukue jeneza kulirudisha ndani, kufungua wakakuta jamaa macho yamemtoka, wakamtoa na kushauriana kumpeleka tena hospitali.

Kufika hospitali ikawa gumzo ika akalazwa tena na baada ya wiki akaruhusiwa kurudi nyumbani.

Ajabu ni kuwa hata baada ya kupona akawa sio mtu wa kuongea sana, akitaka kitu anaomba basi ila akiulizwa jambo lolote anajibu tofauti na swali, ni kama alichanganyikiwa. Hata watoto wake na mkewe akawa amewasahau hana habari nao. Kubwa kuliko yote ni kuwa wakati kabla hajafa alikuwa ni mkulima tu wa kawaida ila baada ya kufa na kufufuka akawa halimi tena akaanza kuuza pilipili mtaani ndio ikawa shughuli yake kuu.

Ikapita tena kama miaka mitatu hivi akagongwa na gari la kusomba magogo akafariki hapohapo ndio ikawa kifo chake halisi maana kwenye ile ajali hakuomba hata maji.
 

Siwezi kuacha kujifunza mkuu kuna mambo mengi ya kujifunza hata hizo habari za Zen spirituality lazima ujifunze kwanza ndio uzijue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…