LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
baada ya obama wahafidhina/wabaguzi hawako tayari kuwa na rais mwingine mweusi. Hivyo 'nuksi' imeshughulikiwa mapema. Na huyo naye huko gop anatafuta nini? Hakujua yatakayompata?
grang old party dawa yao ni jaluo tu basi!!
Ingekuwa na nchi yetu viongozi wanajitoa baada ya tuhuma zozote zinazo wakaba roho tungekuwa mbali, bali wanakuwa wanang'ang'ania wakijua kuchakachua watapita.
Baada ya Obama wahafidhina/wabaguzi hawako tayari kuwa na rais mwingine mweusi. Hivyo 'nuksi' imeshughulikiwa mapema. Na huyo naye huko GOP anatafuta nini? Hakujua yatakayompata?
Sio `grang' sema grand, smarten up!