Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,797
- 22,357
Bas tufanye mimi bado najitafuta.mwanaume yeyote Rijali kuspend pesa kwa wanawake ni kitu cha kawaida sana wala haiumi unless bado unajitafuta.!!
Zile amri zilikuwa za waisrael.Imeandikwa USIZINI, Lakini amri hii inaongozwa kwa kuvunjwa
๐๐Hamna gharama mkuu, sema tu hauna hela....๐คฃ ndio maana unapigia hesabu kulipia room wakati ma-tycoons wanalipia nyumba nzima masaki na mikocheni..๐
ukweli mtupu....inakumaje wakati ndio burudani nambari one hapa duniani? mie sielewi kabisa. sasa usipotumia hela kwenye mbususu unatumia hela kwenye nini? magari?๐๐๐๐mwanaume yeyote Rijali kuspend pesa kwa wanawake ni kitu cha kawaida sana wala haiumi unless bado unajitafuta.!!
ukweli mtupu....inakumaje wakati ndio burudani nambari one hapa duniani? mie sielewi kabisa. sasa usipotumia hela kwenye mbususu unatumia hela kwenye nini? magari?๐๐๐๐mwanaume yeyote Rijali kuspend pesa kwa wanawake ni kitu cha kawaida sana wala haiumi unless bado unajitafuta.!!
Anything for vineeeeeennah๐ ๐คญ
Siyo kule kwenye chips kuku 45,000/=Anything for vineeeeeennah๐ ๐คญ
Kama mtoa mada hataki gharama wakatrombanie kwake wapike kwanza ili kuepuka gharama ๐๐๐๐๐๐!
Siyo kule kwenye chips kuku 45,000/=