babulakibaha
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 287
- 326
Hiyo sio sababu babu vitakuwa viazi vya Bukoba hivyo
Ee na viazi vyao vinafanana na ndizi. Nyanda za juu kusini hatuna viazi vya hivyomhhh!!. Bukoba kuna ndizi
Huku Mtwara sijui wanavitoa wapi. Lakini mkaangaji anasema katumia mafuta ya alizeti kukaangia viaziEe na viazi vyao vinafanana na ndizi. Nyanda za juu kusini hatuna viazi vya hivyo
Mwambie mkaanga chipsi namsalimiaHuku Mtwara sijui wanavitoa wapi. Lakini mkaangaji anasema katumia mafuta ya alizeti kukaangia viazi
Sina hela mkuu vipi naweza kuja dowea.. Sema ndo nafika gero napika saiziUna bei ganiiii
Wapendwa karibuni chai