Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,096
- 9,074
Anyway niko nae hapa na nimemuonesha hii post naona anacheka tuUsifanye hvyo mkuu, kumpost humu ni kumkosea heshima. Nauhakika hatafurahia hii kitu
Be Humble is free of charge
Kama namjua vileAnyway niko nae hapa na nimemuonesha hii post naona anacheka tu
3x² + 5 + 4x³ - x² + 2x³ + 9
Jamaa sijamuelewa kabisa..Usifanye hvyo mkuu, kumpost humu ni kumkosea heshima. Nauhakika hatafurahia hii kitu
Be Humble is free of charge
Nialike ndugu yako nije tule wote.. inakua tamu mno..
Kumbe mlengwa amefurahia kuwekwa humuJamaa sijamuelewa kabisa..
Kumbe mlengwa amefurahia kuwekwa humu
Be Humble is free of charge
Atakuwa anadhani JF ni kama instagram
Khaa mamdogo una uhakika kweli?Usifanye hvyo mkuu, kumpost humu ni kumkosea heshima. Nauhakika hatafurahia hii kitu
Be Humble is free of charge
Nilijua ni kama sisi kumbe mwenyewe amependa kutundikwa jeief
Aah wapi, kamanda ukimjua huyu nakuachia wewe
Aah wapi, kamanda ukimjua huyu nakuachia wewe
3x² + 5 + 4x³ - x² + 2x³ + 9
Siku hizi unapika watu!?
Jr