rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,164
- 43,860
Uzi huu ni kwa ajili ya wale waliopiga gambe na kujikuta wanafanya mambo ya ajabu na kesho ulipoambiwa Ulibisha kweli.. Nilipiga gambe enzi nipo chuo sasa bhana nikataka kuondoka na Malaya flani wenzangu wakawa wananikatalia ikabdi wanifunge kamba wanipeleke mpaka Hostel kufika hostel unaambiwa nikakojoa kwenye korido na kutapika balaaa.. Kiukweli kesho yake nikasema sitalewa mpaka nipoteze network kabisa milele yote..
Tukio gani ulifanya la ajabu siku ulipopiga tungi ya maana??
Tukio gani ulifanya la ajabu siku ulipopiga tungi ya maana??


