Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,002
- 72,284
- Thread starter
- #161
pumzika kwa amani mdogo wangu ....jana tuu nilikukumbuka , wakati nasikiliza wimbo wa Maroon 5-Memories , nawish ungekuwepo na mimi ningekuwa ninavimba kuwa na kabeauty sibling ,
Mama , kaka zako na dada yako Tumekumiss sana unaishi mioyoni mwetu Forever
So sad muombeeni tu
Sent using Jamii Forums mobile app





