CPA Maneno katika semina inayoendelea Mbeya amedokeza kuwa hivi karibuni Bodi itatoa tamko au waraka utakao onyesha itumie nini kwenye kuandaa taarifa zao za hesabu mf IFRS, IPSAS au vinginevo
Kuanzia tarehe 15/10/2018 NBAA wanaanza kutumia mfumo mpya wa malipo wa GePG kwa huduma zote zinazotolewa na Bodi ya Uhasibu na Ukaguzi kama vile malipo ya mitihani , ada za uanachama , semina na huduma nyinginezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.