rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,491
- 41,905
Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya kutupia screenshot tu za namna dada zetu wanatupanga ili watupige mizinga kwa kutumia Visingizio mbali mbali ambavyo havipo kabisaa.. kama naumwa..nitumie nauli alafu haji..mama anaumwa au nimepata safari ya ghafla nina matatizo.
Screenshot kama hii..
Screenshot kama hii..