Hahahahahahahaha Ngebe umenisababishia nicheke Kwa sauti DuhHuyo Maria samson ni mke wangu, ulikua unasemaje?
Tatizo ni hayo majina yenu ndiyo yanafanya msijulikaneNamtafuta Agnes Kimbache, mala ya mwisho tulikutana Musoma mwaka 1996
Mshana wewe ni kaongo🤣🤣 '82 kuwa shule ya msingi napinga kwa nguvu zoteShule ya msingi
Mmh haya sikuandika ili uamini lakiniMshana wewe ni kaongo '82 kuwa shule ya msingi napinga kwa nguvu zote
Haha, braza unazingua!!Mmh haya sikuandika ili uamini lakini
Dah hivi naonekana kinda sana? 1980 nilikuwa la kwanzaHaha, braza unazingua!!
Duh!mkuu heshima zako aisee,huo mwaka ndio naletwa duniani kuja kukumbana na walimwenguSi ajabu kati yao hao ni member humu ila hawawezi lujitokeza kutokana na anonymity ya JF
Anyway namtafuta Flaviana Mbeya.. Mara ya mwisho kuonana ilikuwa 1982
Naona tulikuwa majirani, mm nilikuwa midlandHILDA KAMILE,tulikutana pale kawempe high school kampala ukasema unatokea dar nilihama na laini yangu ya mango iliokua na namba yako niliipotezea pale Akamba bus stand,ulinisaidia sana nicheki Dm,Pia Neema Emanuel ulieshiriki Maisha plus flan miaka siikumbuki ila tulisoma wote pale Old shy pia unahusika.
Pia Mwanangu Charles Majigwa wa shy town ,Erick Misaka, na pia Geofrey Mwambopa last time tumeongea ukiwa unahenya 844,nikiwa 821,kwa mzee Sheshe.
Mhindi Masanja toka pale Azimio primary pia , Mwanangu Daudi Mange nasikia uko kipande cha Mwanza ila nimekusaka mno sikupati
Namkumbuka enzi zake mzee yule,jirani na nyumbani kwa jamaa yangu huku jf anauza mkaa hapo maghorofani kambi ya fisi.Ndio lake hadi sasa ila mze alishatangulia mbele ya haki.
Mzee unanikumbusha mbali sana Kuna mwali wa kuitwa Swaadi Kawaasa alinifanya nikala adaNaona tulikuwa majirani, mm nilikuwa midland
nipoMember wote wa Shybush DUMELAKANDA
Kipindi cha mwl DUNGU
kwakweli atakuwa kikongwe!!Hiyo ishakua namba A mkuu
Hahahaha hapana brother wengi ndio hunichukulia hivyo.. Wazungu wanasema baby face ila umri umesongaKwa jinsi nilivyoona picha zako, nilidhani uliletwa duniani labda hiyo 80-83 hivi mkuu. Sorry kama unekwazika..
Kwa hekima ulizojaliwa naamini kabisaEti ERoni haamini kabisa.. Sasa sijui nifake kwa manufaa gani