kyaibumba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 715
- 989
Tibaijuka Yule Rubani Au ?Namtafuta Nestory Tibaijuka michael(Njuka), Mara ya mwisho kuonana ilikuwa 2013.
Tibaijuka Yule Rubani Au ?Namtafuta Nestory Tibaijuka michael(Njuka), Mara ya mwisho kuonana ilikuwa 2013.
Kuna kitu anataka kumwomba.. Utampatia wewe?Huyo Maria samson ni mke wangu, ulikua unasemaje?
Kha huyu jamaaBro kumbe kumbe ule uzi wako wa Safari yako ya Lindi ni story tu haina ukweli.
Msahana ulkuwa level gan ya elimu 1982Umri umesogea ndugu yangu
Kuna mengi ya kujifunza na kukumbushana yaliyopita ili kujenga futureHao mnaowatafuta ata mkikutana tena mnakua hukuna mlichobakisha kati yenu. Kila kitu kinakuja na kupita mnatakiwa mkubali matokeo. Asa mtu mliopoteana nae mwaka 1980 ata mkikutana mtaongea nini jamani wahenga mna mambo
Hongera kwa uhenga. Sahizi una 52+Kuna mshikaji tulisoma nae pale uhuru primary chuga la saba 1985 pale,alikuwa best yangu anaitwa Aloyce mahundi,sijamtia machoni toka hapo.
Mshana ulikuwa level gani ya elimu 1982Msahana ulkuwa level gan ya elimu 1982
Kemilembe kamugisha namba Yake ninayoNawatafuta Kesibe Elias, Ahazi Mwakatobe, Kibosi Joachim, Kemilembe Kamugisha, Fabian Mlozi, Maria Samson Tikiti, Tusekile Anangisye, Lilian Ndomba, Good Tarimo, Nolasco Mkole, Alfa Ntayomba, Gena Jabiri, Maria Samson, Hamisi Selemani Lieme, Kamote Bakari, Paul Mwanda, Iluminata Constantine, Hawa Noor na wengine wanaonifahamu. Napatikana kwa E-mail hmisayo6@gmail.com
Namtafta Janeth KatuleNawatafuta Kesibe Elias, Ahazi Mwakatobe, Kibosi Joachim, Kemilembe Kamugisha, Fabian Mlozi, Maria Samson Tikiti, Tusekile Anangisye, Lilian Ndomba, Good Tarimo, Nolasco Mkole, Alfa Ntayomba, Gena Jabiri, Maria Samson, Hamisi Selemani Lieme, Kamote Bakari, Paul Mwanda, Iluminata Constantine, Hawa Noor na wengine wanaonifahamu. Napatikana kwa E-mail hmisayo6@gmail.com
Anapatikana jangwani anachunga ng'ombe wake.Namtafuta Fiston Mayele mara ya mwisho kumuona ni kabla ya mechi ya Simba