Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,363
- 5,882
Alikuwa na majina mawili. Hili ndilo lilikuwa maarufu!Feruzi!? Ni mwanamke kwa vipi? Au ulikuwa unamakengeza? Feruzi?!
Alikuwa na majina mawili. Hili ndilo lilikuwa maarufu!Feruzi!? Ni mwanamke kwa vipi? Au ulikuwa unamakengeza? Feruzi?!
Kama ndo huyu Mwachie kasha olewaNamtafuta dada mmoja anaitwa Lily Samson O-level alisoma Eckerneforde Girls na kuhitimu mwaka 2011..Mara ya mwisho nilikutana naye kwenye basi la Nyagawa akitokea Iringa kwenda Dar Es Salaam baadaye kuunganisha kwendaTanga ilikuwa 2011.Kama yupo humu au kuna anayemjua tafadhali ani-pm.
Hii kambi mkuu Nami nimepiga depo hapo Enzi ya CO MTONONawatafuta service men wenzangu tuliokula nao msoto pale 835kj intake ya kwanza kabisa 2013 operation miaka 50 ya JKT Kwa mujibu wa Sheria .
Ndugu yangu mbona kama nampata hebu njoo Dm Nahisi kama yuko kwa ndoa na jamaa yangu hapo 92namtafuta Esther Masanja mara ya mwisho kuonana nae 2019 zanzibar, kwa sasa naishi mwanza ila sina mawasiliano nae
Namfahamu though sina mawasiliano nae, ameolewa. Yupo pia FB kwa jina hilo hiloDaaaa nakutafuta sana Agnetha Pambe...Rafiki tulikutana kwa Bus akitokea Tanga kwenda Arusha...kwa Safari ya Mwanza 2008.Aliniambia Kwao ni Nyakato /Buzuruga,Mwanza.Alitoka kusoma Ualimu Mkoani Tanga ...Kumbukumbu yako imekuwa ngumu kupotea.
nlimfundishaNamtafuta mwanadada mmoja alikuwa akisoma Mwanza Secondari kidato cha nne 2017 mchepuo wa biashara! Shombe shombe hivi, mpole, mwenye aibu na utoto mwingi mwingi! Anaitwa Janeth! Kama kuna rafiki yake atakayekutana na mtafuto huu amjulishe tafadhari!
Ujumbe:
Kwanini alipotea pasi na kuniachia mbususu niichakate wakati tayari ana nakupenda yangu?
Mimi nilikuwa Msange, Operation Nidhamu, Kombania B UzalishajiNawatafuta waliokua Msange JKT 1986/7 OPERATION NIDHAMU hasa wale wa kombania B mafunzo ya Mandevu, Wela J na Materu.
Nicas yupo active facebook.Nawatafuta rafiki zangu wawili
1. Nicas Mtei
2. Alfred Mandia
Kama watapita katika uzi huu au kuna watu wanawafahamu naomba waje inbox.