Mawematatu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 468
- 603
Namtafuta bi Selina senya
Si ajabu kati yao hao ni member humu ila hawawezi lujitokeza kutokana na anonymity ya JF
Anyway namtafuta Flaviana Mbeya.. Mara ya mwisho kuonana ilikuwa 1982
Namtafuta, Mwanaheri Mohamed mara ya mwisho tulikuwa wote, chabruma kambini mwaka 2011 toka hapo sijamuona tena.Nawatafuta Kesibe Elias, Ahazi Mwakatobe, Kibosi Joachim, Kemilembe Kamugisha, Fabian Mlozi, Maria Samson Tikiti, Tusekile Anangisye, Lilian Ndomba, Good Tarimo, Nolasco Mkole, Alfa Ntayomba, Gena Jabiri, Maria Samson, Hamisi Selemani Lieme, Kamote Bakari, Paul Mwanda, Iluminata Constantine, Hawa Noor na wengine wanaonifahamu. Napatikana kwa E-mail hmisayo6@gmail.com
Itakua alikuwa pisi kwelikweli.....nilienda kondoa girls mwaka huu mwanzoni....kuna mitoto ya kirangi pale...mikali hatarinamtafuta wa kipenzi changu wa zamani ,anaitwa Alice Daudi,huyu alipaswa kuwa wife wangu,sema tukapotezana miaka ya 2002 ,alikuwa ana school enzi hizo pale kondoa girls.
Mie nakutafuta weye maana nilipotezana nawe tangu miaka ya 2018Mmmh ngoja kwanza nitengeneze email nyingine kabla sijaanza kuwatafuta wapendwa wangu niliopoteana nao
😉 ngoja nitengeneze email mpya kwanza tupate pa kuwasiliana kimachale machaleMie nakutafuta weye maana nilipotezana nawe tangu miaka ya 2018
Namtafuta binti mzuri mwenye akili sana....anaitwa MAGDALENA MAYANKA CHAMI. Mara ya mwisho tukikutana HOLY FAMILY GIRLS SEC SCHOOL..MWANZA. pia namtafuta rafiki yangu bright sana anaitwa LADISLAUS MARK BARAKA. Napatikana kwa 0657828336.....email. Larrybarrice@gmail.comNawatafuta Kesibe Elias, Ahazi Mwakatobe, Kibosi Joachim, Kemilembe Kamugisha, Fabian Mlozi, Maria Samson Tikiti, Tusekile Anangisye, Lilian Ndomba, Good Tarimo, Nolasco Mkole, Alfa Ntayomba, Gena Jabiri, Maria Samson, Hamisi Selemani Lieme, Kamote Bakari, Paul Mwanda, Iluminata Constantine, Hawa Noor na wengine wanaonifahamu. Napatikana kwa E-mail hmisayo6@gmail.com
mshana una miaka mingapi lkn mkuu?Umri umesogea ndugu yangu