Uzi wa kupeana connection za pamba kali

The only

JF-Expert Member
May 19, 2011
10,426
13,386
Kuna pamba unaziona mtu kavaa town unajiuliza hivi wanazitoa wapi? Mfano mimi natafuta full jeans nyeusi nimeulizia nimeshindwa ukiingia ebay manguo mabayaaaa, huwa naopti mtumba grade 1 nawapa madogo wa pale Karume ofa nzuri wapambane.

Pia natafuta leather trouser nyeusi na brown na mapigo yangu ya kunatishia ila wapi unapata ya kishamba hebu tuibiane maujuzi watanashati wasafi.
1573666235518.png

Hii nimeipata juzi kwa grade one pale Karume kwa jofuu.

1573666376155.png
 
Hapa sibanduki mpaka mtaje tshirts v collar plain za mtumba size M .Sitakuja kuvaa tshirt ambayo sio V maisha yangu yote yaliyobakia duniani .Nimeichoka midabwada ya kichina.
 
Back
Top Bottom