The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,426
- 13,386
Kuna pamba unaziona mtu kavaa town unajiuliza hivi wanazitoa wapi? Mfano mimi natafuta full jeans nyeusi nimeulizia nimeshindwa ukiingia ebay manguo mabayaaaa, huwa naopti mtumba grade 1 nawapa madogo wa pale Karume ofa nzuri wapambane.
Pia natafuta leather trouser nyeusi na brown na mapigo yangu ya kunatishia ila wapi unapata ya kishamba hebu tuibiane maujuzi watanashati wasafi.
Hii nimeipata juzi kwa grade one pale Karume kwa jofuu.
Pia natafuta leather trouser nyeusi na brown na mapigo yangu ya kunatishia ila wapi unapata ya kishamba hebu tuibiane maujuzi watanashati wasafi.
Hii nimeipata juzi kwa grade one pale Karume kwa jofuu.