Uzi wa kuchapia

Uzi wa kuchapia

Watoto.

Kikombe=Tombe.

Naomba sufuria nikombe=Naomba sufuria ntombe.
 
Dah nna nyama Na hamu ya kuku= nna hamu Na nyama ya kuku
 
jamaa angu aliwai chapia kwa kusema shima na yanga badala ya shimba na yanga aseee nilicheka nusu kufaaa cku iooo
 
Jamani naomba kuuliza; hivi Temeke na Gongolambali wapi mboto?
 
..Kwa mahashani kuna suku ya pupu.. Kwa mama Hassan kuna supu ya kuku
 
Back
Top Bottom