interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,396
Asante kwa kutujibia, hiyo pp imekupendeza sana Mama la Mama43 Okore bhuya
Asante kwa kutujibia, hiyo pp imekupendeza sana Mama la Mama43 Okore bhuya
Asante mungu kabisa langu halijulikani hapo halipo
Hayo mnayoyaita Makabila yote ni fake, kabla ya Muzungu na Mwarabu hayakuwepo, jinsi yalivyo leo hii.
Isitoshe binadamu gani bado anaongelea Kabila Dunia ya leo? Mko so primitive washenzi nyie, kumbe ndo maana mnashirikiana na Muzungu kubomoa Taifa na kufurahia Taifa likiangamia, sababu ni hiyo hamjui hata maana ya nchi, hamieni misitu ya Kongo huko mkaishi kama Sokwe na Makabila yenu!
Mh mjumbe wewe ni chotara wa makabila, umejivua kwenye Ubantu moja kwa moja maana Mbantu halisi ana kabila moja109 : Wabheja
31 : Wakondya
Kizinza=KichatoKwa Kizinza muulize Mheshimiwa sana wa Nchi.
We ni Nshomire?
Siwezi kuwa kabila moja na Mwigulu Nchemba , nipo kabila moja na learned brother Tundu Lissu
Sasa kwanini unadai kabila lako halipo hapo?Hapana
Mh mjumbe, huku Ushirombo tinasema katule tyanyi..Mh mjumbe wewe ni chotara wa makabila, umejivua kwenye Ubantu moja kwa moja maana Mbantu halisi ana kabila moja
Hakuna utumwa kama kukataa kwenuHayo mnayoyaita Makabila yote ni fake, kabla ya Muzungu na Mwarabu hayakuwepo, jinsi yalivyo leo hii.
Isitoshe binadamu gani bado anaongelea Kabila Dunia ya leo? Mko so primitive washenzi nyie, kumbe ndo maana mnashirikiana na Muzungu kubomoa Taifa na kufurahia Taifa likiangamia, sababu ni hiyo hamjui hata maana ya nchi, hamieni misitu ya Kongo huko mkaishi kama Sokwe na Makabila yenu!
Yani wewe ndo bado kabisa aisee,unaukataa u kwenu na kutukuza mataifa yasiyo yako na desturi zaoHayo mnayoyaita Makabila yote ni fake, kabla ya Muzungu na Mwarabu hayakuwepo, jinsi yalivyo leo hii.
Isitoshe binadamu gani bado anaongelea Kabila Dunia ya leo? Mko so primitive washenzi nyie, kumbe ndo maana mnashirikiana na Muzungu kubomoa Taifa na kufurahia Taifa likiangamia, sababu ni hiyo hamjui hata maana ya nchi, hamieni misitu ya Kongo huko mkaishi kama Sokwe na Makabila yenu!