Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,649
Udereva ni moja ya sehemu zenye malipo ya chini ukilinganisha na kada zingine.duuuh na vipi kada ya udereva wanalipaje?
Wastani wa mishahara yao (take home) ni around 380,000/- to 450,000/-
Na hakuna malipo ya ziada mfano overtime nk.
Sent using Jamii Forums mobile app