Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,653
Habari zenu wadau.
Kutokana na kukua kwa matumizi ya Mitandao ya kijamii, kumeongezeka kwa kasi kubwa ya biashara zinazofanyika mitandaoni. Hizi biashara zina manufaa makubwa kwa watumiaji wa mitandao na uchumi kwa ujumla.
Hata hivyo ukuaji wa biashara za kimitandao, umeanbatana kwa kasi kubwa ya biashara za kitapeli. Kila kukicha watu wanakuja na mbinu mpya ya utapeli mtandaoni huku watu wakilia kuubiwa.
Hatuwezi tupia serikali( TCRA) jukumu hili peke yao. Tunatakiwa hata sisi wenyewe kufahamishana juu ya utapeli huu unaoendelea.
Hivyo basi, ningetumia nafasi hii kuwakaribisha nyote tufichue hawa matapeli wa mitandaoni kwa kupost utapeli wao humu tukiwa na ushahidi uliokamilika.
Karibuni nyote.
Kutokana na kukua kwa matumizi ya Mitandao ya kijamii, kumeongezeka kwa kasi kubwa ya biashara zinazofanyika mitandaoni. Hizi biashara zina manufaa makubwa kwa watumiaji wa mitandao na uchumi kwa ujumla.
Hata hivyo ukuaji wa biashara za kimitandao, umeanbatana kwa kasi kubwa ya biashara za kitapeli. Kila kukicha watu wanakuja na mbinu mpya ya utapeli mtandaoni huku watu wakilia kuubiwa.
Hatuwezi tupia serikali( TCRA) jukumu hili peke yao. Tunatakiwa hata sisi wenyewe kufahamishana juu ya utapeli huu unaoendelea.
Hivyo basi, ningetumia nafasi hii kuwakaribisha nyote tufichue hawa matapeli wa mitandaoni kwa kupost utapeli wao humu tukiwa na ushahidi uliokamilika.
Karibuni nyote.