Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,071
Uko sure l382 haiscan wala kutoa copy?
Nimejibu kulingana na maelezo ya swali!
Uko sure l382 haiscan wala kutoa copy?
Kwa kazi ya copy na kuscan chukua l850 ama l382. Hizi za kisasa sio kabisaKwahiyo mkuu unanishauri nichukue L805?
Vipi na kuprint ina print? Maana naimani kazi nitakayo kuwa nafanya watu wa huku kijijini ni kupiga picha sana japo nataka niwe nachukua na kazi za kutoa copy mkuu ila sana sana ni kuprint picha.Kwa kazi ya copy na kuscan chukua l850 ama l382. Hizi za kisasa sio kabisa
Ndiyo. L382 na L850 ni all in oneVipi na kuprint ina print? Maana naimani kazi nitakayo kuwa nafanya watu wa huku kijijini ni kupiga picha sana japo nataka niwe nachukua na kazi za kutoa copy mkuu ila sana sana ni kuprint picha.
Asante mkuu, vp L382 inatoa picha nzuri maana nisije kurupuka ikala kwangu wateja wakakimbia? Vp na upatikanaji wa wino wake ni ghali sana au nikama wa L805?Ndiyo. L382 na L850 ni all in one
Uzuri wa epson ni kua wino wake ni bei nafuu na unapatikana kwa urahisi. L382 ni nzuri na inatoa picha za kawaida. Wateja hawatakukimbia.Asante mkuu, vp L382 inatoa picha nzuri maana nisije kurupuka ikala kwangu wateja wakakimbia? Vp na upatikanaji wa wino wake ni ghali sana au nikama wa L805?
Asant mkuuUzuri wa epson ni kua wino wake ni bei nafuu na unapatikana kwa urahisi. L382 ni nzuri na inatoa picha za kawaida. Wateja hawatakukimbia.
Mkuu hapa umenitisha tenaUzuri wa epson ni kua wino wake ni bei nafuu na unapatikana kwa urahisi. L382 ni nzuri na inatoa picha za kawaida. Wateja hawatakukimbia.
Plain paper (ream) huwa na kama vumbi hv, hii ikitumika muda mrefu inaua head (epson zote) na roller zinabadilishika na ni bei rahisi. Uzuri wa hii mashine ni kutumia wino vzr. Vile vichupa vinne vinaweza kutoa hadi nakala 8000+ (coloured) na nakala 13000+ (black).Mkuu hapa umenitisha tenaView attachment 2083204
Mkuu nimeulizia kwa mwanza hiyo L382 wameniambia haipo maana mimi nipo shinyanga, ila Walionayo ni Epson L3110 wakidai inaendana na L382 vipi unaonaje nikichukua hiyo L3110?Plain paper (ream) huwa na kama vumbi hv, hii ikitumika muda mrefu inaua head (epson zote) na roller zinabadilishika na ni bei rahisi. Uzuri wa hii mashine ni kutumia wino vzr. Vile vichupa vinne vinaweza kutoa hadi nakala 8000+ (coloured) na nakala 13000+ (black).
Unaweza kuitumia miaka zaidi ya miwili ukiongeza wino tu bila kubadili vitu nilivyoainisha hapo juu.
Sikushauri mkuu. Bora uagize dar mojakwamoja. Hiyo l3110/3111 zinawahi kuharibu sensorMkuu nimeulizia kwa mwanza hiyo L382 wameniambia haipo maana mimi nipo shinyanga, ila Walionayo ni Epson L3110 wakidai inaendana na L382 vipi unaonaje nikichukua hiyo L3110?
Asante sana mkuu nitaaguza maana dada yangu yupo dar nitajarib kuwasiliana nae.Sikushauri mkuu. Bora uagize dar mojakwamoja. Hiyo l3110/3111 zinawahi kuharibu sensor
Akifika kariakoo awasiliane na huyu 0620403134. Yupo mtaa wa kipata na kongo. Anazo hizo printerAsante sana mkuu nitaaguza maana dada yangu yupo dar nitajarib kuwasiliana nae.
Asante mkuu bei yake ikoje huyu jamaa?Akifika kariakoo awasiliane na huyu 0620403134. Yupo mtaa wa kipata na kongo. Anazo hizo printer
Mara ya mwisho ilikua 500,000. Kwasasa sijajua. Lakini ukifika dukani unaweza kuongea nae ukapunguziwa.Asante mkuu bei yake ikoje huyu jamaa?
Asante boss ila nikinunua hiyo sinaweza kuprint na kadi za harusi?Mara ya mwisho ilikua 500,000. Kwasasa sijajua. Lakini ukifika dukani unaweza kuongea nae ukapunguziwa.
Inatoa copyL382 inatoa na copy? Au inaprint tu.
Ingia google search hiyo error.Kuna epson l3150 kwenye status inaandika error code 000043,haiprint inawaka taa nyekundu za wino na karatasi..
nimechunguza kama kuna kipande cha karatasi kimebakia kwenye roller hakuna,
nimevuta wino kwa kutumia bomba kwenye zile catridge lakini bado
Nimejaribu ku update drivers lakini bado..
msaada tafadhari
Bila tatizo kabisaAsante boss ila nikinunua hiyo sinaweza kuprint na kadi za harusi?