Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,570
- 3,763
Nisaidie mkuu printer ipi iko poa na haito haribika haribika? Bajet yangu 750000 mpaka 800000.Sidhani kama kwa far Ni hiyo Bei,Kuna jamaa mwaka. 2020 aliagiza dar kwa sh 800K
Nisaidie mkuu printer ipi iko poa na haito haribika haribika? Bajet yangu 750000 mpaka 800000.Sidhani kama kwa far Ni hiyo Bei,Kuna jamaa mwaka. 2020 aliagiza dar kwa sh 800K
Hizo Ni Bei kwa Dar es salaam,sasa hiyo 6500K vipi tenaMkuu em nisaidie kwa mawazo aisee kwahiyo nichukue ipi ambayo haiwahi kuharibika? Ila hiyo 900000 mpaka 1.2m ipo juu sana maana kwa Dar ni 650000 mkuu.
Huwezi pata kwa hiyo Bei,sasa Kama itakubidi uende wewe ukijumlisha na nauli,kula, kulala unapata sh ngapi?Dar ukienda mwenyewe unapata mkuu ila kwa 750000 mpaka 800000
Mkuu sijasema L850 ni L805 em angalia vizur, hiyo bei Ya L850 ni sahihi.Hizo Ni Bei kwa Dar es salaam,sasa hiyo 6500K vipi tenaView attachment 2082351View attachment 2082354
Hiyo ndio niliyo izungumzia sio L850Nataka ninunue epson l805 sijui kwa mwanza ni bei gani
Ok Basi nilielewa vibaya,kwa Bei ya l805 waweza pata kwa pesa hiyo,ngoja niangalie Bei yakeMkuu sijasema L850 ni L805 em angalia vizur, hiyo bei Ya L850 ni sahihi.
Mimi naishi kijijini hivyo nataka printer kwaajili ya kuprint picha, kutoa copy, kutengeneza kadi za harusi,kutengeneza passportsize, ikiwezekana na lamination hivyo kwa huku kijijini itanifaaHuwezi pata kwa hiyo Bei,sasa Kama itakubidi uende wewe ukijumlisha na nauli,kula, kulala unapata sh ngapi?
By the way unataka printer ya features zipi na kwa shughuli ipi?
Uko Kijiji gani mkuu,by the way mashine l805 haican Wala kutoa kopi,yenyewe inaprint tu,so kwa kazi hizo l85O itakufaa sanaMimi naishi kijijini hivyo nataka printer kwaajili ya kuprint picha, kutoa copy, kutengeneza kadi za harusi,kutengeneza passportsize, ikiwezekana na lamination hivyo kwa huku kijijini itanifaa
Kumbe copy haitoi?Uko Kijiji gani mkuu,by the way mashine l805 haican Wala kutoa kopi,yenyewe inaprint tu,so kwa kazi hizo l85O itakufaa sana
Ndiyo hiyo ninayo Ile ndogo yake l800 ,so inaprint tu,Kumbe copy haitoi?
Duh! Kazi ipo mkuuNdiyo hiyo ninayo Ile ndogo yake l800 ,so inaprint tu,View attachment 2082505
Nami ninayo ya 2018 nimeibadilishia header pekeeVitu vinapanda na kushuka,Wakati nanunua Mimi mwaka 2018 zilikuwa 1.2M, mwaka juzi nilinunua kile kipindi Cha korona imepamba Moto ilikuwa 1.1 , Bei ya kuanzia , nadhani Bei inarange kwenye 900K -1.2M kwa mwanza.
Ila hizi mashine zimekuwa mbovu Sana,sinawahi kuharibika,ya kwangu ya mwaka 2018 toleo jipya haijawahi nisumbua,ila Kuna jamaa zangu wamenunua baada ya kuzoeleka sokoni zinaharibika mapema Sana.
Hebu angalia Kam kuna toleo jipya
Kwasasa nadhani ni 700_800k mpya. Hata l850 nazo kam za sasa zimeanza kufakufa. Mashine ambayo naikubali kwa epson ni px660, 210, 220, 382 na T50. Sema kuzipata ndio mziki. Nina 805, 382, 220 na px660 na zinapiga mzigo balaa.Vitu vinapanda na kushuka,Wakati nanunua Mimi mwaka 2018 zilikuwa 1.2M, mwaka juzi nilinunua kile kipindi Cha korona imepamba Moto ilikuwa 1.1 , Bei ya kuanzia , nadhani Bei inarange kwenye 900K -1.2M kwa mwanza.
Ila hizi mashine zimekuwa mbovu Sana,sinawahi kuharibika,ya kwangu ya mwaka 2018 toleo jipya haijawahi nisumbua,ila Kuna jamaa zangu wamenunua baada ya kuzoeleka sokoni zinaharibika mapema Sana.
Hebu angalia Kam kuna toleo jipya
Dar zimeshafika 700,000 hadi 7.5 mkuu. Mfumuko wa bei za bidhaa sio wa kitotoMkuu em nisaidie kwa mawazo aisee kwahiyo nichukue ipi ambayo haiwahi kuharibika? Ila hiyo 900000 mpaka 1.2m ipo juu sana maana kwa Dar ni 650000 mkuu.
Ungeandika matumizi unayotarajia kufanya ingekua rahisi kukushauri.Nisaidie mkuu printer ipi iko poa na haito haribika haribika? Bajet yangu 750000 mpaka 800000.
Tafuta l382 mkuu. Kama unataka kutengeneza na pvc card chukua 850 japo nayo usipokua makini itakufa mapema.Mimi naishi kijijini hivyo nataka printer kwaajili ya kuprint picha, kutoa copy, kutengeneza kadi za harusi,kutengeneza passportsize, ikiwezekana na lamination hivyo kwa huku kijijini itanifaa
Mimi sijawahi badili head hata Mara moja,Nami ninayo ya 2018 nimeibadilishia header pekee
Mimi nilibadili mwaka jana december. Lakini ni mashine zinazohimili mikiki mikiki. Tatzo la hii ya kwangu ukiweka karatasi zaidi ya moja inazivuta zote.Mimi sijawahi badili head hata Mara moja,
Sawa mkuu.ShukranUtakua unazungumzia zile sponge zinazonyonya wino mchafu. Si ndio? Kama ni hivyo hakuna madhara lakini zitasinyaa kiasi. Best solution ni kuzisafisha kisha zisitumike tena. Hapa unatoboa sehemu ya nyuma ya printer kisha unapotisha mrija nje kwaajili ya kumwaga wino mchafu
View attachment 2081824
Kwahiyo mkuu unanishauri nichukue L805?Kwasasa nadhani ni 700_800k mpya. Hata l850 nazo kam za sasa zimeanza kufakufa. Mashine ambayo naikubali kwa epson ni px660, 210, 220, 382 na T50. Sema kuzipata ndio mziki. Nina 805, 382, 220 na px660 na zinapiga mzigo balaa.