Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,445
- 25,727
Mmh!Kuna wakati tulisikia jeshini kuna mnyaruanda aliweza kuingia na kupata ngazi za juu, polisi na uhamiaji ndio usiseme. Ndio kusema wenye madaraka hawaoni au wenye jukumu la kulinda nchi yetu hawawezi kung'amua haraka na kushauri hatua za kuchukua?
Naona km Mhe. Aliyepita angalau alishtuka na kuanza kuwachomoa...