Psg watakua wanafurahi sana maamuzi ya mbappeQmaamae Mbappe kapishana nayo hii. Ousmane Dembeleeee safi sana
Kabla ya Osumane walikuwa Sawa na German 5/5.France have now had more different Men’s Ballon d’Or winners than any other nation in the award’s history:
◉ Raymond Kopa (1958)
◉ Michel Platini (1983/84/85)
◉ Jean-Pierre Papin (1991)
◉ Zinedine Zidane (1998)
◉ Karim Benzema (2022)
◉ Ousmane Dembélé (2025)
As I said earlierDembele anaweza kuchukua japo ngoma huwa haitabiliki
Madrid haipiti miaka mitano bila kuchukua Champions leagueBw. Mbappe hatokuja kushinda Ballon d'or na Champions League
teknolojia imekua sana vitu vya kufatilia ni vingiHivi miaka ya sikuhizi ni kwamba wachezaji mashuhuri wachache au vipaji vichache.
Miaka ya nyuma hata mtu ambaye hafuatilii mpira kabisa, angeweza taja majina 20 ya wachezaji bila kupundisha, watoto, wanawake wangetaja.
Sasa hivi ni mpaka uwe unafuatilia sana mpira ndo utajua baadhibya wachezaji, tena unashangaa et ndo wanachukua tuzo...Mbappe & Yamal ndo kidogo wako popular, ingawa Mbappe naye mara anapotea, mara anaibuka.
Ni kwamba watu wa marketing na kuwapromote wachezaji hamna siku hizi au vipaji hamna - imekua ajira tu
Kwenye hiyo list usimsahau Ibrahim Ajib na Clatous Chama (aliondoka RS Berkane kurudi Simba, huku akiwaacha wenzake wakivaa medali za Confederation Cup. Kisha akaondoka Simba kwenda Yanga, Ile kuondoka tu Simba wakavaa medali za Confederation Cup).Mbape kaungana na Zlatan katika ule Mchezo wa kuondoka huku na vyote kuja huko ulipopaacha.
Inataka roho ya kiume ili kujibeba uendelee mbele.
You did say nothingAs I said earlier
So?You did say nothing