ballon d'or

The Ballon d'Or (French pronunciation: [balɔ̃ dɔʁ] (listen); lit. 'Golden Ball') is an annual football award presented by French news magazine France Football since 1956. Between 2010 and 2015, in an agreement with FIFA, the award was temporarily merged with the FIFA World Player of the Year (founded in 1991) and known as the FIFA Ballon d'Or. That partnership ended in 2016, and the award reverted to the Ballon d'Or, while FIFA also reverted to its own separate annual award The Best FIFA Men's Player. The recipients of the joint FIFA Ballon d'Or are considered as winners by both award organisations.
Conceived by sports writers Gabriel Hanot and Jacques Ferran, the Ballon d'Or award honours the male player deemed to have performed the best over the previous year, based on voting by football journalists, from 1956 to 2006. After 2007, coaches and captains of national teams were also given the right to vote. Originally, it was awarded only to players from Europe and widely known as the European Footballer of the Year award. In 1995, the Ballon d'Or was expanded to include all players from any origin that have been active at European clubs. The award became a global prize in 2007 with all professional footballers from around the world being eligible.

View More On Wikipedia.org
  1. THE FIRST BORN

    Toka Messi apewe Ballon d'Or ya 8 kwa wizi sijui amekuaje!

    Messi kimemkuta Nini baaada ya kushinda Ballon D'or ya Wizi?
  2. NEGAN

    Tetesi: Lionel Messi kushinda Ballon d'or ya 8

    Kwa mujibu wa mtandao wa hispania wa SPORT mwanasoka wa Argentina Lionel Messi atashinda tuzo yake ya 8 ya Ballon d'or akimshinda mpinzani wake Erling Haaland. Aidha kwa upande wa wanawake tuzo hiyo atashinda Aitana Bonmati.
  3. NEGAN

    Cristiano Ronaldo hatimaye ametupa taulo

    Ule mchuano mkali uliodumu kwa takribani miaka 18 wa wanasoka nguli kuwahi kutokea duniani wenye vipaji vya hali ya juu hatimaye unaelekea ukingoni. Si mwingine bali ni mchuano kati ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo. https://www.jamiiforums.com/threads/messi-vs-ronaldo-nani-zaidi.13334/...
  4. 2 of Amerikaz most wanted

    Ballon d'Or 2022/2023: Who is your favorite?

    Lionel Leo Messi Vs Erling Haaland
  5. Execute

    Luka Modric apewe Ballon d'Or za mwaka 2014 na 2017 badala ya Cristiano Ronaldo

    Hizi tuzo zilitolewa kwa kuangalia mshindi wa UEFA Champions League (UCL). Ni dhahiri kwamba mchango wa Modric ni muhimu na wakipekee. Kama asingekuwepo Modric wala Real Madrid wasingeshinda hayo makombe. Huyu Modric aliweza kufikia nafasi ya pili (2018) na nafasi ya tatu (2022) Kombe la Dunia...
  6. Championship

    Bukayo Saka na Gabriel Martinelli watabeba tuzo ya Ballon D'or kabla ya Kylian Mbappe na Erling Haaland

    Kiwango cha soka kinachooneshwa na vijana hawa wawili, Saka na Martinelli kinavutia na kudhihirisha kwamba wako makini na kazi yao. Kwa miaka mitatu iliyopita tumeona vijana hawa wakipikwa na kuwa mawinga hatari sana katika Klabu ya Arsenal. Kiwango chao cha kujituma na nidhamu kinaonesha hatma...
  7. P Didy Wa Tanzania

    Karim Benzema, mshindi wa Ballon d’Or ya 66 mwenye historia ya kipekee

    Baba yake alizaliwa Algeria, yeye akazaliwa Ufaransa na kukulia huko. Akajiunga na makundi ya tabia mbaya kwenye ukuaji wake kutokana na tabia za vijana wanaoishi kwenye mji wa Lyon, ila baba yake akamfanya awe mtoto mwema kwa kumpeleka kwenye mafunzo ya dini. Akaupenda mpira, kisha akaucheza...
  8. Greatest Of All Time

    Hafla ya Tuzo za Ballon d'Or 2022 (Oktoba 17, 2022), Benzema ashinda Tuzo ya Ballon d’Or 2022

    Usiku wa leo, kwanzia saa 1:00 usiku kutakuwa na hafla ya ugawaji wa Tuzo za Ballon d'Or. Katika hafla hiyo, kutakuwa na mchezaji bora wa dunia kwa upande wa wanaume na upande wa wanawake. Vilevile, kutakuwa na tuzo ya golikipa bora wa mwaka, mshambuliaji bora wa mwaka na tuzo ya mchezaji bora...
Back
Top Bottom