ballon d'or

The Ballon d'Or (French pronunciation: [balɔ̃ dɔʁ] (listen); lit. 'Golden Ball') is an annual football award presented by French news magazine France Football since 1956. Between 2010 and 2015, in an agreement with FIFA, the award was temporarily merged with the FIFA World Player of the Year (founded in 1991) and known as the FIFA Ballon d'Or. That partnership ended in 2016, and the award reverted to the Ballon d'Or, while FIFA also reverted to its own separate annual award The Best FIFA Men's Player. The recipients of the joint FIFA Ballon d'Or are considered as winners by both award organisations.
Conceived by sports writers Gabriel Hanot and Jacques Ferran, the Ballon d'Or award honours the male player deemed to have performed the best over the previous year, based on voting by football journalists, from 1956 to 2006. After 2007, coaches and captains of national teams were also given the right to vote. Originally, it was awarded only to players from Europe and widely known as the European Footballer of the Year award. In 1995, the Ballon d'Or was expanded to include all players from any origin that have been active at European clubs. The award became a global prize in 2007 with all professional footballers from around the world being eligible.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Kwa kigezo hiki, Mbappe atashinda Ballon d'Or mwaka 2026?

    Lamine Yamal ameshinda Kombe la Dunia – lakini je, nyota huyo chipukizi wa Hispania amefanya vya kutosha kumpiku Harry Kane, Kylian Mbappé, Ousmane Dembélé katika mbio za Ballon d'Or?, Baada ya enzi ya utawala wa Lionel Messi na Cristiano Ronaldo kuelekea ukingoni, ushindani wa tuzo ya Ballon...
  2. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Je, Lionel Messi ana nafasi ya kushinda Ballon d'Or 2026?

    Kadri Kombe la Dunia 2026 linavyokaribia tamati, mjadala kuhusu mshindi wa Ballon d'Or umechukua kasi. Miongoni mwa majina yanayotajwa zaidi ni nahodha wa Argentina, Lionel Messi, ambaye akiwa na umri wa miaka 39 ameendelea kuonyesha kiwango cha juu na kuiongoza timu yake hadi fainali ya Kombe...
  3. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Messi aendelee kupewa Ballon d'Or mpaka pale atakapoamua kuacha kucheza soka ni aibu kumpa mtu kama Dembele ile tuzo

    Mimi sina mengi sana kwa namna ya uchezaji wake ni dhahiri kwamba hakuna mtu yeyote kwa soka la sasa kumlinganisha naye. The real GOAT
  4. marcoveratti

    JamiiForums Tanzania Ballon d'Or haitupi Mchezaji bora mara zote

    Kila mwaka, Dunia ya soka husimama kwa dakika chache. Sio kwa sababu kuna fainali ya Kombe la Dunia, Sio kwa sababu kuna Clasico, wala sio kwa sababu kuna usiku mwingine wa kichawi wa Ligi ya Mabingwa ulaya. Ni kwa sababu kuna tuzo, usiku ambao furaha ya mmoja hugeuka hasira ya mamilioni ya...
  5. X

    JamiiForums Tanzania UZI MAALUMU: Ballon d'Or

    Maisha hayana formula kabisa Hivi nani alitegemea eti siku moja Ousmane Dembélé au Lamine Yamal anaweza kutangulia kunyanyua tuzo kubwa ya Ballon d'Or kabla ya Mbappé Msimu huu ni mchuano mkali kati ya janja machachari Lamine Yamal na Ousmane Dembélé
  6. Sema kama nenga

    JamiiForums Tanzania Super Ballon D'or : Which player should win this award? Between Messi or Ronaldo 2029

    " In 1989, French football decided to reward the best Ballon d'Or of the previous three decades, a trophy that was only given once in history." There was only one rule to be a candidate : to have won the Ballon d'Or multiple times. Who voted? Readers of French football, the jury of the Ballon...
  7. FK21

    JamiiForums Tanzania Lamine Yamal for Ballon D'or. Nani anapinga?

    Hilo mnalionaje wakuu kijana ana kipaji sana Cha mpira kiwange chake ukimtazama vizuri bila wasiwasi ni robo ya uwezo wa Messi +nusu Ronaldinho gaucho+nusu Neymar Jr. He deserves hachoshi kumtazama kila mda utatamani awe na mpira yeye tu kwa anachokifanya.
  8. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Thierry Henry asema katika mbio za Tuzo ya Ballon d'Or, Raphinha yupo mbele ya Mohamed Salah

    Nguli wa soka Thierry Henry amesema kuhusu Tuzo zijazo za Ballon d'Or, Mbrazil wa Barcelona FC, Raphinha ana nafasi kubwa kutokana na takwimu nzuri na ameonyesha kiwango Bora zaidi ya Mohamed Salah wa Liverpool Amesema "Raphinha ana Magoli 11 katika UEFA Champions League, anafanya vizuri katika...
  9. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Mo Salah kubeba Ballon D'or 2025

    Ni dhahiri dalili ya mvua ni mawingu, kwa takwimu za Egyptian Talisman Mohamed salah namuona akienda kuibuka kidedea mshindi wa tuzo ya Ballon D'or mwaka huu 2025. Bila shaka, naamini Liverpool atashinda kombe la Ligi kuu EPL 2025. Bila wasiwasi, naamini Liverpool atashinda Final ya kombe la...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Ronaldo: Vini Jr alistahili kushinda tuzo ya Ballon d'Or

    Nyota wa Ureno na Klabu ya Al Nassr, Cristiano Ronaldo ametamka hadharani kwamba, Vinicius Jr alistahili kushinda tuzo ya Ballon d'Or mwaka huu. Ronaldo amezungumza hayo mbele ya wahudhuriaji wa tuzo za Globe Soccer. "Kwa maoni yangu [Vinicius Jr alistahili kushinda, ilikuwa sio haki...
  11. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Nani alistahili kushinda Mchezaji Bora wa Kiume Ballon d'or 2024?

    Wakuu, Tuzo za Ballon d’Or 2024 zimejumuisha vipaji bora vya soka duniani, na tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume imeenda kwa Rodri (27) wa Manchester City na timu ya taifa ya Hispania. Ushindi huu ni wa kihistoria kwa Rodri, ambaye amekuwa na msimu wa kipekee, akichangia mafanikio makubwa kwa...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Aisee mpira umebadilika kweli leo hii Rodri anachukua Ballon d'or huku kuna viungo punda zaidi yake hawakuwahi kuikaribia tuzo hiyo!

    Vijana wa 2000 hakika wanakosa burudani sana katika mpira katika zama hizi ambapo kuna mabadiliko makubwa yanatokea kwenye mpira. Ebu twende nyuma kidogo viungo waliowahi kucheza mpira mkubwa hapa duniani lakini hawakuweza kuchukua hiyo tuzo ya Ballon d or. Pale France kulikuwa na wachezaji wa...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Lamine Yamal atua na mdogo wake katika hafla ya Ballon d’Or

    Mchezaji kinda wa Barcelona, Lamine Yamal, amewasili katika hafla ya utoaji wa tuzo za Ballon d’Or akiwa ameongozana na mdogo wake. Soma, Pia: • Rodri atua na magongo ndani ya Paris kupokea Ballon d'Or aliyoporwa Vinicius Jr • Majina ya Vinicius Jr na Jude Bellingham yaondolewa kwenye Viti...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Majina ya Vinicius Jr na Jude Bellingham yaondolewa kwenye Viti vyao katika Hafla ya Ballon d’Or usiku huu

    Taarifa mpya kutoka ukumbini Théâtre du Châtelet ni kwamba majina ya nyota wa Real Madrid, Vinicius Jr na Jude Bellingham yameondolewa kwenye viti vyao kwa hafla ya utoaji wa tuzo za Ballon d’Or itakayofanyika usiku wa leo, Paris, Ufaransa. Hali hii imeleta mshangao mkubwa, na hakuna anayejua...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Rodri atua na magongo ndani ya Paris kupokea Ballon d'Or aliyoporwa Vinicius Jr

    Kwa mujibu wa ripoti, Rodri ameshinda tuzo ya Ballon d’Or na yuko Paris kupokea tuzo hiyo. Vyanzo vya habari Ulaya vinaripoti kuwa Vinicius Jr hatosafiri kuelekea Paris kuhuhudhuria tuzo za Ballon dor usiku wa leo kutokana na kuwa wamepata taarifa kuwa yeye sio Mshindi wa tuzo hiyo na hakuna...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Vinicius Jr hatasafiri kwenda Paris kwa vile anajua "Hatashinda" Ballon d'Or mwaka huu

    Mchezaji nyota wa Real Madrid, Vinicius Jr, hatasafiri kwenda Paris kwa ajili ya hafla ya utoaji tuzo ya Ballon d’Or baada ya kujua hatashinda tuzo hiyo mwaka huu. Uongozi wa klabu hiyo umeamua kwamba hakuna mwakilishi yeyote wa Real Madrid atakayehudhuria hafla hiyo ya kifahari. Soma Pia...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Kipa wa Mamelod Sundowns Rollen William aongoza kwenye kura za mashabiki tuzo za Ballon D'or 2024

    Kipa wa Mamelod Sundowns Rollen William aongoza kwenye kura za mashabiki tuzo za Ballon D'or mwaka 2024 Upande wa Makipa akiwa na asilimia 55.9% akifatiwa na kipa wa Madrid A.Lounine akiwa na asilimia 21.9% hapo awali ziliongozwa na kipa was Real Madrid Lounine. kwa asilimia 59% kabla ya kipa...
  18. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje Viktor Gyokeres kukosa top 30 ya ballon d'or. Hawa jamaa wanatumia criteria zipi kuchagua washindani?

    Tuliposhangaa na kuhoji kwa nini Messi ashinde ballon d'or dhidi ya Halaand, vijana wa Messi walirusha mawe sana, Anyway maisha ya soka yaendelee.
  19. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Nani kuwarithi Messi na Ronaldo katika Ballon d'Or 2024?

    Kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2003, nguli wa Soka Duniani, Lionel Messi na Cristiano Ronaldo hawamo kwenye orodha ya wachezaji walioteuliwa kuwania tuzo ya Ballon d'Or. Messi alishinda tuzo huyo Mara 8 huku Ronaldo akishinda mara 5 Orodha ya wachezaji 30 walioteuliwa imewajuisha Jude...
  20. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Sijaona uwezo mkubwa wa Jude Bellingham, hiyo Ballon d’or ni bora apewe Vini Jr

    Kumekuwa na kelele mitandaoni kuwa Jude Bellingham anastahili kutwaa tuzo ya Ballo d’or Msimu huu kwenye Uefa kuanzia hatua ya mtoano mpaka Madrid wanabeba taji sijaona mchango wake walau hata kuamua mechi. Vini Jr ameshafanya hivyo mara nyingi lakini sifa zote anamwagiwa Jude. Jude ana kipi...
Back
Top Bottom