Uzi maalum: Wapenda mazoezi ya viungo tukutane hapa kwa maoni, ushauri, aina za mazoezi, faida zake n.k

Asante mkuu
Ushauri mzuri mkuu.
Kwa kuongezea ni kwamba anaweza kujiwekea lengo la kuongeza push up 10 kila baada ya wiki.
Kama wiki hii anapiga 10 wiki ijayo akomae apige 20,wiki inayofuata 30 na kuendelea hivyo hivyo.
Mimi nilianza na push up 20 kwa mkupuo moja kisha napiga 10 mara 3 kutimiza 50 kwa siku.
Nimekomaa na kwa sasa napiga 150 kwa siku,huwa naanza na 50 kwa mkupuo wa kwanza.Kisha napiga 40 halafu napiga 30 mara mbili.
Lengo langu nataka niwe napiga 200 kwa siku kwa mikupuo ya 50 mara nne.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nina 205cm na 65kg i look so weak in this height halaf ni hard gainer nakula kinoma noma sema sasa mishe zangu zinanifanya pattern yangu ya msosi inakua haieleweki ila hii january nmpanga nianze zoez je nipige zoezi gan na lisilo burn calories maana dhumuni ni kuongeza uzito na msosi pia ushauri wenu wadau
 
Back
Top Bottom