the say
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,637
- 3,115
Asante mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri mzuri mkuu.
Kwa kuongezea ni kwamba anaweza kujiwekea lengo la kuongeza push up 10 kila baada ya wiki.
Kama wiki hii anapiga 10 wiki ijayo akomae apige 20,wiki inayofuata 30 na kuendelea hivyo hivyo.
Mimi nilianza na push up 20 kwa mkupuo moja kisha napiga 10 mara 3 kutimiza 50 kwa siku.
Nimekomaa na kwa sasa napiga 150 kwa siku,huwa naanza na 50 kwa mkupuo wa kwanza.Kisha napiga 40 halafu napiga 30 mara mbili.
Lengo langu nataka niwe napiga 200 kwa siku kwa mikupuo ya 50 mara nne.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app