Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Tunavyoelekea kwenye uchaguzi Mkuu 2025 baadhi ya vyama vya siasa nchini vimefungua dirisha kwa wanachama wao kutia nia kugombea nafasi za Udiwani.
Uzi huu utakusogezea wananchi wanaotia nia kugombea nafasi ya Udiwani na watakaopitishwa na vyama vyao kugombea nafasi hiyo.
Juni 2025
Uzi huu utakusogezea wananchi wanaotia nia kugombea nafasi ya Udiwani na watakaopitishwa na vyama vyao kugombea nafasi hiyo.
Juni 2025
- Pre GE2025 - Shetta ajitosa kugombea udiwani kata ya Mchikichini
- Pre GE2025 - Mratibu wa shughuli za utawala Uplands Fm achukua fomu udiwani Mji mwema
- Pre GE2025 - Falmeo Mahenge amejitosa kwenye kinyang'anyiro cha kuomba kuteuliwa kuwa mgombea udiwani wa kata ya Iwawa, Njombe
- Pre GE2025 - Khalif Ifn Karim amechukua fomu ya kugombea udiwani kata ya Upanga Magharibi
- Pre GE2025 - Aklin Ndelwa amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea udiwani wa kata ya Mbalatse, Njombe
- Pre GE2025 - Kaka wa Babu Tale, Iddi Shaban Taletale autaka udiwani wa Makurumla, Ubungo kupitia CCM
- Pre GE2025 - Mchekeshaji Stanbakora agombea nafasi Ya udiwani Kata Ya Kiwanja Cha Ndege Morogoro
- Pre GE2025 - Rehema Mandingo ametia nia kuwania Udiwani kwenye kata ya Mikocheni kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM