Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,163
Mkuu ni mchongo! Pia njoo uungweVifurushi vinakataga pumzi hivi
Kwanini usitoe ujuzi wenzako watumie pia!?
Mkuu ni mchongo! Pia njoo uungweVifurushi vinakataga pumzi hivi
Kwanini usitoe ujuzi wenzako watumie pia!?
Duh mkuu dollar 50 per postPamoja na yote, elimu na ujuzi zinahitajika sana. Kabla ya kupoteza pesa kwa sababu ya FOMO (Fear of Missing Out), inabidi kusoma au kuangalia sana tutorials ya kila aina kuhusu cryptocurrencies, NFTs na DeFi, pia podcasts za kila siku toka pande zote za Dunia kwa Youtube, Twitter, n.k... websites ya news na links to YouTube: www.blockchaincompany.info,... Mtu maarufu sana ni Ran Neuer kila siku inatoa Maelezo sana ya cryptos hot hot, n.k. Ya msingi hakuna kitu bure, kwa hiyo ukiona ofa ni tamu sana, ni uwongo. Tumia masaa 40/60 kujifunza kwanza.
www.blockabase.com wanakupa 1 token kwa kuadd websites kwenye searcher Yao.
Kwanini iwe tigo tu mitandao mengine hunaOfa ofa!!!!Naunganisha GB 72 kwa mwaka mzima kwa mtandao wa tigo kila mwez utapata GB 6 Ambazo unatumia siku 14 kila mwez kwa mwaka mzima
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 2 kuungwa
Wanaohitaji njoo Pm
Huduma zote malipo Ni baada ya kaz nahitaji watu walio seriously TU pm usije pm kunijaribu Kama maelezo hayajitoshelez niulizie hapa hapa
Karibuni
sasa sijui tuweke wapi hizi fursa. Iko nyingine pia niliwaza kushare humu nikasitaModerators nyuzi zote za cryptos wanapiga bani..........tulianza kuchangia toka Doge awe $0.05..….....toka shiba yupo $0.00005......kama wangeziachia zile nyuzi maelfu ya watanzania wangefaidika
Weka tu muuukuusasa sijui tuweke wapi hizi fursa. Iko nyingine pia niliwaza kushare humu nikasita
😂😂Miaka aftatuSerikali ya Tanzania ifanye kama ilichofanya serikali ya China kwenye cryptocurrency na mambo ya currency speculations kiujumla