KITAULO
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,926
- 2,778
kuna jirani yangu tumemzika juzi..alikuwa anaumwa akaenda kwenye zahati zetu hizi wakampima wanachojua majibu yakatoka kuwa hana shida yoyote ....mzee akahisi kuna watu wanamtengeneza so akaitwa mganga kutoka mikoa ya kusini huko...mganga kufika akamwangalia mgonjwa wake akawaambia huyu kapigwa zongo ..na kuliondoa inabid akamuliwe ndimu kumi na kunyweshwa.....familia ikatafuta ndimu kumi zenye maji ya kutosha ..mganga akaandaa dawa ..mgonjwa akanyweshwa maji ya ndimu 10... kwani mzee alilala sasa...mzee hakuchukua hata masaa akanyooka..mganga akala kona hajulikani alipo na mzee next day kabla jua halijazama tulimpika chepe...habari ikaishia hapo...
kumywesha mzee wa watu maji ya ndimu kumi ...si mchezo
kumywesha mzee wa watu maji ya ndimu kumi ...si mchezo