Wakuu, naomba uzi huu uwe maalum kwa ajili ya mabadiliko ndani ya Yanga yani kutoka ktk mfumo tegemezi kwenda ktk mfumo wa hisa.
Ni muda mrefu hakuna hata ukulele kuhusu haya mabadiliko tangu iundwe tume maalum kwa ajili ya kutafiti na kujua thamani halisi ya Yanga wakati tulijua mchakato ungeenda haraka ukizingatia timu yetu iko na hali mbaya kiuchumi..
Karibu mtoe maoni, ushauri, mtazamo hapa hapa pengine viongozi wataona.
Ni muda mrefu hakuna hata ukulele kuhusu haya mabadiliko tangu iundwe tume maalum kwa ajili ya kutafiti na kujua thamani halisi ya Yanga wakati tulijua mchakato ungeenda haraka ukizingatia timu yetu iko na hali mbaya kiuchumi..
Karibu mtoe maoni, ushauri, mtazamo hapa hapa pengine viongozi wataona.