political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,801
- 5,788
USAJILI Kiungo/Beki wa Yanga mkongomani Yannick Bangala Litombo amesema wazi wazi ana asilimia 20% tu za kubaki Yanga. Naishia hapa nakuachia wewe mdau unateseka ukiwa wapi na hizi taarifa za wachezaji wenu kuanza kusepa?..BANGALA ATHIBITISHA KUONDOKA YANGA.
Baada ya Kocha Nasredinne Nabbi Kuondoka Yanga na inataarifiwa kuwa Tayari ameshasaini Kaizer Chief ya Afrika Ya Kusini.
Kocha Nabi anataka Kuwasajili baadhi ya Wachezaji Ambao alikuwa nao ndani ya Klabu hio ya Yanga aende nao Kaizer.
Yanick Bangala ni moja ya Wachezaji wanaoitajika na Kocha Nabi na ana Mkataba Wa Mwaka Mmoja.
Tayari Kaizer Chief wamewatumia Barua Yanga kwa ajili ya Kutaka Saini ya Kiungo huyo Yanick Bangala.
Inatajwa Bangala Yupo Tayari Kukubali Ofa Hio na Muda wowote atatuma Barua ya Kutaka Kuvunja Mkataba Wake na Yanga Kama Yanga wakigomea Ofa ya Kaizer Chief .
Kwenye Mahojiano aliyofanya Bangala Siku za Hivi Karibuni Amesema ana Asilimia 20 ya Kubaki Yanga na Asilimia 80 ya Kuondoka.
Kaizer inampango wa Kuwasajili Wachezaji Wanne Kutoka Klabu Ya Yanga.
#YangaSC #YannickBangala
Baada ya Kocha Nasredinne Nabbi Kuondoka Yanga na inataarifiwa kuwa Tayari ameshasaini Kaizer Chief ya Afrika Ya Kusini.
Kocha Nabi anataka Kuwasajili baadhi ya Wachezaji Ambao alikuwa nao ndani ya Klabu hio ya Yanga aende nao Kaizer.
Yanick Bangala ni moja ya Wachezaji wanaoitajika na Kocha Nabi na ana Mkataba Wa Mwaka Mmoja.
Tayari Kaizer Chief wamewatumia Barua Yanga kwa ajili ya Kutaka Saini ya Kiungo huyo Yanick Bangala.
Inatajwa Bangala Yupo Tayari Kukubali Ofa Hio na Muda wowote atatuma Barua ya Kutaka Kuvunja Mkataba Wake na Yanga Kama Yanga wakigomea Ofa ya Kaizer Chief .
Kwenye Mahojiano aliyofanya Bangala Siku za Hivi Karibuni Amesema ana Asilimia 20 ya Kubaki Yanga na Asilimia 80 ya Kuondoka.
Kaizer inampango wa Kuwasajili Wachezaji Wanne Kutoka Klabu Ya Yanga.
#YangaSC #YannickBangala