Mkuu Ni simple tu.Sasa mkuu kwani si ndo nilichosema au? Kwamba kama baba anatafuta pesa na kuhudumia familia peke yake basi hata mama naye afanye kazi za ndani na kulea familia peke yake ila hicho unachosema wewe hakipo kwenye dunia ya sasa kwa sababu
Familia nyingi sasa hivi baba na mama wanatafuta hela na kuhudumia familia 50/50 tena familia nyingine mama ndo kamzidi kipato baba sasa kwenye familia kama hizo kwanini baba naye asisaidie majukumu ya mama? Tatizo ndo hilo wanaume kufanya kazi za ndani huwaga mnaonaje sijui yaani sijui mnahisi mnatabadilika jinsia?
Hivi mkuu zile mahari mnazotoa ndo mnafananisha na maisha na majukumu ya kwenye ndoa? Hizo million ngapi sijui ambazo leo hii wanaume wana uwezo wa kuhonga hata makahaba? Hebu acha utani mkuu mbona kabla hamjaoa hela mnazohonga zinazidi hata mahari mnazotoa kwa wake zenu?Mkuu Ni simple tu.
Katoeni mahari ili muwaoe hao wanaume.
Kama unasubiri kuolewa usitegemee hayo unayowaza.
Na wewe acha kuongelea maisha ya kwenye movie yale ambayo mwanamke anaolewa anakuta mwanaume ana kila kitu siku hizi wanaume wangapi wanaoa wanawake wanakuta wako kwenye vyumba vya kupanga na wanaanza wote maisha?Wanawake wa kizazi hiki bhana.
Yaani unasubiri nikutongoze, nikakulipie mahari kwenu.
Unakuja unakuta nimeshajenga nyumba na kila kitu ndani aafu unaanza kutaka 50/50.
Hivi mama zenu wamewaleaje?
Kwenda shule isiwe sababu ya kujiona you need new principles wakati unaishi maisha yaliopo tangu agano la kale.
Kama mchumba wako Hana hata kiwanja mkuu, usiolewe naye!!Na wewe acha kuongelea maisha ya kwenye movie yale ambayo mwanamke anaolewa anakuta mwanaume ana kila kitu siku hizi wanaume wangapi wanaoa wanawake wanakuta wako kwenye vyumba vya kupanga na wanaanza wote maisha?
Lengo la kuoa Ni ili uje ufanye kazi za nyumbani.Hivi mkuu zile mahari mnazotoa ndo mnafananisha na maisha na majukumu ya kwenye ndoa? Hizo million ngapi sijui ambazo leo hii wanaume wana uwezo wa kuhonga hata makahaba? Hebu acha utani mkuu mbona kabla hamjaoa hela mnazohonga zinazidi hata mahari mnazotoa kwa wake zenu?
Mkuu naona mimi na wewe tunatofautiana kwenye kitu kimoja tu mimi naongelea ndoa ambazo ndo ziko kwenye dunia ya sasa ila wewe unaongelea zile ndoa ambazo kwa sasa zimebaki chache sana kiuhalisia hayo ndo maisha ya siku hizi wanaume wanabweteka kwa kisingizio cha kuwa wanasubiri 'wife material'Kama mchumba wako Hana hata kiwanja mkuu, usiolewe naye!!
Na ndo maana binadamu tunatofautiana mitazamo kuna wanawake wana mitazamo kama yako hiyo kwahiyo kama hao ndo mtaendana na kuna wanaume wana mitazamo kama yangu hii kwahiyo kama hao ndo tutaendanaLengo la kuoa Ni ili uje ufanye kazi za nyumbani.
Kama Ni k hata kwa makahaba naweza kuipata na wengine nikawazalisha na watoto nikawalea.
Yaani kama wewe uwe mke wangu na mm awazo ya kijinga haya unaondoka siku chache tu.!!
Kiongozi, hii staili yetu ni rahisi sana kupasha kipolo kwa sababu watu mnaachana huku mawasiliano yakiwa bado mazuri!! Lakini kila nikivuta kumbukumbu sikumbuki popote nilipowahi kupasha kipolo!!Okay mine is more like the same with you, ila mimi najikutaga nawala tena tukimit...ila hilo la ugomvi mimi sitak kwanza hata utafute sababu ya ugomvi hautapata, hata utume mitusi january december me nakausha kau, yan ndio kwanza nakuomba msamaha na hii inaipaga advantage sababu wanawake wanakuaga very open kwangu, yan wanafunguka...MTIHANI MKUBWA NI WAKIINGIA KWENE 18 nashindwa kuwaacha sijui kwanini...
Kiongozi, hii staili yetu ni rahisi sana kupasha kipolo kwa sababu watu mnaachana huku mawasiliano yakiwa bado mazuri!! Lakini kila nikivuta kumbukumbu sikumbuki popote nilipowahi kupasha kipolo!!