Uzi kwa wanaume wote

Uzi kwa wanaume wote

Samahani mimi namuwakilisha myplusbee
Ah! Kwanza mi nilivyo sijawahi kabisa kugombana na mpenzi wangu wa zamani, na hata kama alitaka tutengane kwa ugomvi, mwenyewe tu atajishtukia! That being said, ma-ex wangu wote wanakuwa ni my friends, na kwa maana nyingine, kuna uwezekano mkubwa tu wa kuwasiliana nao inapotokea issue muhimu, social au hata binafsi!! Majuzi tu, nimewasiliana na ex-wangu wa enzi hizo! Yeye yupo NSSF na nikawa namuulizia issues za mafao ya Bi. Mkubwa! Aidha, kuna wakati nilipata mitihani ya maisha nikawa nimechoka kishenzi! But trust me, mtu ambae alikuwa ni msaada wangu mkubwa sana, tena sana ni ex wangu wa tangu chuo; na hadi sasa ananidai Sh. 350K na nina uhakika ameshasahau lakini mimi sijasahau! Kuna ex wangu mwingine nilikutana nae humu humu JF! Majuzi tu alikuwa na shida fulani serious inayohitaji mkono wa pili, and I supported her!

Hata hivyo, sijawahi kupasha kiporo kwa yeyote yule, na sioni ni namna gani inaweza kutokea! Wanaopasha viporo ni wale wanaoachana kwa fujo, visa na kila aina ya mitafaruku! Akili zao zikija kutulia, wanajikuta kumbe bado wanatakana kama sio kupendana!! Kwa bahati mbaya au mzuri, that's not my style; kwanza mambo ya kuachana na magomvi najionea ushamba tu!
Sasa kama mtu sina shida nae, kwanini nisiwasiliane nae kunapokuwa na ulazima wa kufanya hivyo?!
 
Ah! Kwanza mi nilivyo sijawahi kabisa kugombana na mpenzi wangu wa zamani, na hata kama alitaka tutengane kwa ugomvi, mwenyewe tu atajishtukia! That being said, ma-ex wangu wote wanakuwa ni my friends, na kwa maana nyingine, kuna uwezekano mkubwa tu wa kuwasiliana nao inapotokea issue muhimu, social au hata binafsi!! Majuzi tu, nimewasiliana na ex-wangu wa enzi hizo! Yeye yupo NSSF na nikawa namuulizia issues za mafao ya Bi. Mkubwa! Aidha, kuna wakati nilipata mitihani ya maisha nikawa nimechoka kishenzi! But trust me, mtu ambae alikuwa ni msaada wangu mkubwa sana, tena sana ni ex wangu wa tangu chuo; na hadi sasa ananidai Sh. 350K na nina uhakika ameshasahau lakini mimi sijasahau! Kuna ex wangu mwingine nilikutana nae humu humu JF! Majuzi tu alikuwa na shida fulani serious inayohitaji mkono wa pili, and I supported her!

Hata hivyo, sijawahi kupasha kiporo kwa yeyote yule, na sioni ni namna gani inaweza kutokea! Wanaopasha viporo ni wale wanaoachana kwa fujo, visa na kila aina ya mitafaruku! Akili zao zikija kutulia, wanajikuta kumbe bado wanatakana kama sio kupendana!! Kwa bahati mbaya au mzuri, that's not my style; kwanza mambo ya kuachana na magomvi najionea ushamba tu!
Sasa kama mtu sina shida nae, kwanini nisiwasiliane nae kunapokuwa na ulazima wa kufanya hivyo?!
Aissseee
 
Ivi jamani mnashindana na wanaume?? Mwanaume hata afanye na wanawake 1000000 maumbile yake hayatobadilika na unaweza ukadhani kuwa hajawahi kufanya kabisa ila mwanamke akifanya na wanaume wawili tu taari athari na maumbile yanajitokeza, SANA SANA ITAKUA AMESHATUMIKA SANA
Tukifululiza hali huwa tofauti kuna day size huongezeka na sometimes haivimbi sana... na ile hali ya kukojoa nyingi nadhani mwafahamu mnapima kwa muda tunao do
 
Mnasema wanawake kuwasiliana na-ex zao .je vipi nyie maana ndio mnapenda kuwatafuta ma -ex zenu? Na sie tunakasirika nipeni sababu .

Sex kwa wanaume sio emotional sana kama kw amabinti ko mwanaume anaweza kuongea na ex wake pasipo matamanio ya kimapenzi ila sio kwa wanawake
 
Huwa namshangaa mwanamke anayefanya vitu kwa kujilinganisha na mwanaume.!!
Utaumiza Sana tupu zako!!
 
Huwa namshangaa mwanamke anayefanya vitu kwa kujilinganisha na mwanaume.!!
Utaumiza Sana tupu zako!!
Kwanini ziumie ikiwa yeye anapata utamu hapo ndipo ninapowashangaaga wanaume yaani mtu kitu amekubali kufanya kwa hiari yake mwenyewe useme anaumia unless otherwise awe amebakwa
 
Kwanini ziumie ikiwa yeye anapata utamu hapo ndipo ninapowashangaaga wanaume yaani mtu kitu amekubali kufanya kwa hiari yake mwenyewe useme anaumia unless otherwise awe amebakwa
Mkuu mimi nikit.omba wanawake 20 na wewe uta.tombesha kwa wanaume 20?
Unadhani huo uchi wako utaendelea kuwa sawa?
Mimi ninavyozidi kukitumia kinakuwa strong zaidi lakini wewe unazidi kupanuka na kuchakaa.
Mwisho unakuwa na bwawa hata mumeo anakuchoka. Hata hao unaowapelekea huko wanakuchoka, huna mvuto tena.
Wanawake muelewe tu kuwa hamuwezi kulipiza kila analofanya mwanaume.
 
Hivi aliyekwambia kwamba wanawake tukifanya makosa tunafanya kwa kulipiza au tunataka kushindana na nyie nani? Hivi kwani wanawake ni malaika au? Kwamba wao hawatakiwi kabisa kutenda dhambi eti? Khaa halafu hapo pa kusema sijui mwanamke akitombwa sana anachakaa na anachokwa naomba nikwambie tu nimegundua hayo ni maneno ya humu mitandaoni tu ya wanaume kutaka kujitutumua

Zamani nilikuwaga naamini ila sasa hivi nimekuwa na ninajua mifano mingi ya wanaume waliooa wanawake waliowahi kuwa makahaba wametombwa na wanaume hawana idadi ila sasa hivi wako kwenye ndoa na hao wanawake mnaowasifia kuwa wamejitunza sijui wife material wengi wanatafuta ndoa miaka nenda rudi hawapati yaani hii dunia ya sasa maisha hayana formula

Tena nashangaa ambao bado wanasema siri ya mwanamke kuolewa ni moja mbili tatu nne yaani hiyo siku hizi hakuna tena kuna wanawake wanafanya saba nane tisa kumi na wanaolewa na ndoa zinadumu ila mkija humu kujitutumua tu eti oh wanaume hatuwezi kuoa mwanamke mwenye bwawa

Kuna wanaume wenzio huko wameyaoa hayo mabwawa wameyaweka ndani na kama ukisema eti wanaume wa hivyo wanachepuka je una uhakika gani kuwa na hao wake zao nao hawachepuki? Yaani kwa kifupi wanaume tambo zenu za mitandaoni tumeshazizoea na hazina uhalisia kwenye maisha kwahiyo kuweni tu wapole mtulie kama sisi maana tunajua kila jinsia inaonja joto ya jiwe kutoka kwa jinsia nyingine
Mkuu mimi nikit.omba wanawake 20 na wewe uta.tombesha kwa wanaume 20?
Unadhani huo uchi wako utaendelea kuwa sawa?
Mimi ninavyozidi kukitumia kinakuwa strong zaidi lakini wewe unazidi kupanuka na kuchakaa.
Mwisho unakuwa na bwawa hata mumeo anakuchoka. Hata hao unaowapelekea huko wanakuchoka, huna mvuto tena.
Wanawake muelewe tu kuwa hamuwezi kulipiza kila analofanya mwanaume.
 
Na nyie wasilianeni tu Na ma x wenu kwani shida ipo wapi
 
Hivi aliyekwambia kwamba wanawake tukifanya makosa tunafanya kwa kulipiza au tunataka kushindana na nyie nani? Hivi kwani wanawake ni malaika au? Kwamba wao hawatakiwi kabisa kutenda dhambi eti? Khaa halafu hapo pa kusema sijui mwanamke akitombwa sana anachakaa na anachokwa naomba nikwambie tu nimegundua hayo ni maneno ya humu mitandaoni tu ya wanaume kutaka kujitutumua

Zamani nilikuwaga naamini ila sasa hivi nimekuwa na ninajua mifano mingi ya wanaume waliooa wanawake waliowahi kuwa makahaba wametombwa na wanaume hawana idadi ila sasa hivi wako kwenye ndoa na hao wanawake mnaowasifia kuwa wamejitunza sijui wife material wengi wanatafuta ndoa miaka nenda rudi hawapati yaani hii dunia ya sasa maisha hayana formula

Tena nashangaa ambao bado wanasema siri ya mwanamke kuolewa ni moja mbili tatu nne yaani hiyo siku hizi hakuna tena kuna wanawake wanafanya saba nane tisa kumi na wanaolewa na ndoa zinadumu ila mkija humu kujitutumua tu eti oh wanaume hatuwezi kuoa mwanamke mwenye bwawa

Kuna wanaume wenzio huko wameyaoa hayo mabwawa wameyaweka ndani na kama ukisema eti wanaume wa hivyo wanachepuka je una uhakika gani kuwa na hao wake zao nao hawachepuki? Yaani kwa kifupi wanaume tambo zenu za mitandaoni tumeshazizoea na hazina uhalisia kwenye maisha kwahiyo kuweni tu wapole mtulie kama sisi maana tunajua kila jinsia inaonja joto ya jiwe kutoka kwa jinsia nyingine
Umenifanya niwaze mbali sana.
Ahsante.
 
Hivi aliyekwambia kwamba wanawake tukifanya makosa tunafanya kwa kulipiza au tunataka kushindana na nyie nani? Hivi kwani wanawake ni malaika au? Kwamba wao hawatakiwi kabisa kutenda dhambi eti? Khaa halafu hapo pa kusema sijui mwanamke akitombwa sana anachakaa na anachokwa naomba nikwambie tu nimegundua hayo ni maneno ya humu mitandaoni tu ya wanaume kutaka kujitutumua

Zamani nilikuwaga naamini ila sasa hivi nimekuwa na ninajua mifano mingi ya wanaume waliooa wanawake waliowahi kuwa makahaba wametombwa na wanaume hawana idadi ila sasa hivi wako kwenye ndoa na hao wanawake mnaowasifia kuwa wamejitunza sijui wife material wengi wanatafuta ndoa miaka nenda rudi hawapati yaani hii dunia ya sasa maisha hayana formula

Tena nashangaa ambao bado wanasema siri ya mwanamke kuolewa ni moja mbili tatu nne yaani hiyo siku hizi hakuna tena kuna wanawake wanafanya saba nane tisa kumi na wanaolewa na ndoa zinadumu ila mkija humu kujitutumua tu eti oh wanaume hatuwezi kuoa mwanamke mwenye bwawa

Kuna wanaume wenzio huko wameyaoa hayo mabwawa wameyaweka ndani na kama ukisema eti wanaume wa hivyo wanachepuka je una uhakika gani kuwa na hao wake zao nao hawachepuki? Yaani kwa kifupi wanaume tambo zenu za mitandaoni tumeshazizoea na hazina uhalisia kwenye maisha kwahiyo kuweni tu wapole mtulie kama sisi maana tunajua kila jinsia inaonja joto ya jiwe kutoka kwa jinsia nyingine
Endelea kuuza mkuu.
Lakini jua kuwa kuoa na kuolewa Ni kamali fulani tu inachezwa.
Unaweza ukabania na ukaoza nacho na usiolewe na unaweza ukagawa Sana ukaishia kuwa ngoma ya mji.
Lakini kwenye akili yako fanya vitu kama mwanamke na sio kuangalia wanaume wanachofanya.
 
Endelea kuuza mkuu.
Lakini jua kuwa kuoa na kuolewa Ni kamali fulani tu inachezwa.
Unaweza ukabania na ukaoza nacho na usiolewe na unaweza ukagawa Sana ukaishia kuwa ngoma ya mji.
Lakini kwenye akili yako fanya vitu kama mwanamke na sio kuangalia wanaume wanachofanya.
Watanzania bwana kwahiyo nishakuwa muuzaji tena duuh yaani mtu akitetea vilema basi na yeye kashakuwa kilema? Sawa ila ndo hivyo mpendwa ndoa inapangwa na Mungu na ndoa siyo ufalme wa mbinguni tuseme kwamba eti kuingia ni lazima uwe mkamilifu hata mbinguni kwenyewe siyo wote watakaoingia ni wakamilifu

Maana Mungu angesema asimamie sheria na amri zake ipasavyo kwa dunia ya sasa hakuna ambaye angepona sasa sijui nyie wanaume ni kina nani hasa mnaotaka mpate wanawake wakamilifu utadhani mmeambiwa wanawake ni malaika maana mna kamsemo kenu wenyewe eti "hamtaki kuvurugwa" ila nyie kuwavuruga wanawake mnaona sawa sasa sijui nani anayependa kuvurugwa

Wakati tumeambiwa usitende yale usiyopenda kutendewa na wenzio ila nyie wanaume mkitendewa yale mliyotenda mnasema sijui wanawake tunawalipizia sijui tunashindana na nyie mnasahau kuna hiki kitu kinaitwa Karma yaani what goes around comes around ukila vya watu na vyako lazima viliwe ukichapa wake wa wenzio na wenzio lazima watakuchapia mke wako ndivyo dunia ilivyo

Bila kusahau kwamba shetani hawajaribu wanaume tu hata wanawake wanaingizwa sana majaribuni na katika wote hao lazima kuna watakaoyashinda hayo majaribu na kuna watakaoyashindwa kwahiyo wanawake kufanya dhambi hawafanyi kwa sababu wanaume wanafanya ila wanafanya kwa sababu nao ni binadamu hawajakamilika duuh ila wanaume sijui ni kwamba hamtaki kuelewa hili au ni kwamba hamtaki kuukubali huu ukweli mchungu ndiyo ni ngumu kumeza ila ndiyo ukweli huo
 
Back
Top Bottom