Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,989
- 5,066
Mkuu, ukitaka kufanya hayo unayoandika oa mwanaume wako.Watanzania bwana kwahiyo nishakuwa muuzaji tena duuh yaani mtu akitetea vilema basi na yeye kashakuwa kilema? Sawa ila ndo hivyo mpendwa ndoa inapangwa na Mungu na ndoa siyo ufalme wa mbinguni tuseme kwamba eti kuingia ni lazima uwe mkamilifu hata mbinguni kwenyewe siyo wote watakaoingia ni wakamilifu
Maana Mungu angesema asimamie sheria na amri zake ipasavyo kwa dunia ya sasa hakuna ambaye angepona sasa sijui nyie wanaume ni kina nani hasa mnaotaka mpate wanawake wakamilifu utadhani mmeambiwa wanawake ni malaika maana mna kamsemo kenu wenyewe eti "hamtaki kuvurugwa" ila nyie kuwavuruga wanawake mnaona sawa sasa sijui nani anayependa kuvurugwa
Wakati tumeambiwa usitende yale usiyopenda kutendewa na wenzio ila nyie wanaume mkitendewa yale mliyotenda mnasema sijui wanawake tunawalipizia sijui tunashindana na nyie mnasahau kuna hiki kitu kinaitwa Karma yaani what goes around comes around ukila vya watu na vyako lazima viliwe ukichapa wake wa wenzio na wenzio lazima watakuchapia mke wako ndivyo dunia ilivyo
Bila kusahau kwamba shetani hawajaribu wanaume tu hata wanawake wanaingizwa sana majaribuni na katika wote hao lazima kuna watakaoyashinda hayo majaribu na kuna watakaoyashindwa kwahiyo wanawake kufanya dhambi hawafanyi kwa sababu wanaume wanafanya ila wanafanya kwa sababu nao ni binadamu hawajakamilika duuh ila wanaume sijui ni kwamba hamtaki kuelewa hili au ni kwamba hamtaki kuukubali huu ukweli mchungu ndiyo ni ngumu kumeza ila ndiyo ukweli huo
Lakini kama unasubiria nikutongoze, nikatafute mbuzi na hela nilete kwenu Tena wengine wazazi wenu wanapanga Hadi mil 10 siku hizi.
Yaani mahari tu unanunua uwanja na kusimamisha msingi!!
Ndio maana unahamishwa kwenu kuja kwetu. We own you kwa muda huo.
Ndio maana hata nikifa Mimi utaendelea kwenda kwetu na ukifa unazikwa na familia yangu.
Vinginevyo ingekuwa tukikutana tunaendelea kuishi bila hata Mambo ya mahari ndio ingewezekana.
