Uzi kwa wanaume wote

Uzi kwa wanaume wote

Sasa mkuu kwani si ndo nilichosema au? Kwamba kama baba anatafuta pesa na kuhudumia familia peke yake basi hata mama naye afanye kazi za ndani na kulea familia peke yake ila hicho unachosema wewe hakipo kwenye dunia ya sasa kwa sababu

Familia nyingi sasa hivi baba na mama wanatafuta hela na kuhudumia familia 50/50 tena familia nyingine mama ndo kamzidi kipato baba sasa kwenye familia kama hizo kwanini baba naye asisaidie majukumu ya mama? Tatizo ndo hilo wanaume kufanya kazi za ndani huwaga mnaonaje sijui yaani sijui mnahisi mnatabadilika jinsia?
Mkuu Ni simple tu.
Katoeni mahari ili muwaoe hao wanaume.
Kama unasubiri kuolewa usitegemee hayo unayowaza.
 
Wanawake wa kizazi hiki bhana.
Yaani unasubiri nikutongoze, nikakulipie mahari kwenu.
Unakuja unakuta nimeshajenga nyumba na kila kitu ndani aafu unaanza kutaka 50/50.
Hivi mama zenu wamewaleaje?
Kwenda shule isiwe sababu ya kujiona you need new principles wakati unaishi maisha yaliopo tangu agano la kale.
 
Mkuu Ni simple tu.
Katoeni mahari ili muwaoe hao wanaume.
Kama unasubiri kuolewa usitegemee hayo unayowaza.
Hivi mkuu zile mahari mnazotoa ndo mnafananisha na maisha na majukumu ya kwenye ndoa? Hizo million ngapi sijui ambazo leo hii wanaume wana uwezo wa kuhonga hata makahaba? Hebu acha utani mkuu mbona kabla hamjaoa hela mnazohonga zinazidi hata mahari mnazotoa kwa wake zenu?
 
Wanawake wa kizazi hiki bhana.
Yaani unasubiri nikutongoze, nikakulipie mahari kwenu.
Unakuja unakuta nimeshajenga nyumba na kila kitu ndani aafu unaanza kutaka 50/50.
Hivi mama zenu wamewaleaje?
Kwenda shule isiwe sababu ya kujiona you need new principles wakati unaishi maisha yaliopo tangu agano la kale.
Na wewe acha kuongelea maisha ya kwenye movie yale ambayo mwanamke anaolewa anakuta mwanaume ana kila kitu siku hizi wanaume wangapi wanaoa wanawake wanakuta wako kwenye vyumba vya kupanga na wanaanza wote maisha?
 
Na wewe acha kuongelea maisha ya kwenye movie yale ambayo mwanamke anaolewa anakuta mwanaume ana kila kitu siku hizi wanaume wangapi wanaoa wanawake wanakuta wako kwenye vyumba vya kupanga na wanaanza wote maisha?
Kama mchumba wako Hana hata kiwanja mkuu, usiolewe naye!!
 
Hivi mkuu zile mahari mnazotoa ndo mnafananisha na maisha na majukumu ya kwenye ndoa? Hizo million ngapi sijui ambazo leo hii wanaume wana uwezo wa kuhonga hata makahaba? Hebu acha utani mkuu mbona kabla hamjaoa hela mnazohonga zinazidi hata mahari mnazotoa kwa wake zenu?
Lengo la kuoa Ni ili uje ufanye kazi za nyumbani.
Kama Ni k hata kwa makahaba naweza kuipata na wengine nikawazalisha na watoto nikawalea.
Yaani kama wewe uwe mke wangu na mm awazo ya kijinga haya unaondoka siku chache tu.!!
 
Kama mchumba wako Hana hata kiwanja mkuu, usiolewe naye!!
Mkuu naona mimi na wewe tunatofautiana kwenye kitu kimoja tu mimi naongelea ndoa ambazo ndo ziko kwenye dunia ya sasa ila wewe unaongelea zile ndoa ambazo kwa sasa zimebaki chache sana kiuhalisia hayo ndo maisha ya siku hizi wanaume wanabweteka kwa kisingizio cha kuwa wanasubiri 'wife material'

Yaani wanawake ambao wanaanza na waume zao kuanzia kwenye umasikini hadi kwenye utajiri na siku hizi hicho ndo kipimo cha kwanza cha mke bora eti anatakiwa awe anaweza kumvumilia mwanaume kwenye umasikini hadi wafanikiwe wote ndo maana nasema wewe unaongelea zile ndoa ambazo kwa dunia ya sasa zimebaki chache kwahiyo unatoka kabisa nje ya uhalisia ndugu
 
Lengo la kuoa Ni ili uje ufanye kazi za nyumbani.
Kama Ni k hata kwa makahaba naweza kuipata na wengine nikawazalisha na watoto nikawalea.
Yaani kama wewe uwe mke wangu na mm awazo ya kijinga haya unaondoka siku chache tu.!!
Na ndo maana binadamu tunatofautiana mitazamo kuna wanawake wana mitazamo kama yako hiyo kwahiyo kama hao ndo mtaendana na kuna wanaume wana mitazamo kama yangu hii kwahiyo kama hao ndo tutaendana

Ila point yangu ni kwamba kama lengo la kuoa kwako wewe ni mke aje afanye kazi za ndani basi hakikisha hafanyi kazi wala biashara yoyote ya kutafuta kipato afanye kazi za ndani tu na wewe uwe unamtimizia mahitaji yake yote hapo kweli mambo yataenda sawa ila tofauti na hapo utakuwa unamtia tu majaribuni mwanamke wa watu
 
Okay mine is more like the same with you, ila mimi najikutaga nawala tena tukimit...ila hilo la ugomvi mimi sitak kwanza hata utafute sababu ya ugomvi hautapata, hata utume mitusi january december me nakausha kau, yan ndio kwanza nakuomba msamaha na hii inaipaga advantage sababu wanawake wanakuaga very open kwangu, yan wanafunguka...MTIHANI MKUBWA NI WAKIINGIA KWENE 18 nashindwa kuwaacha sijui kwanini...
Kiongozi, hii staili yetu ni rahisi sana kupasha kipolo kwa sababu watu mnaachana huku mawasiliano yakiwa bado mazuri!! Lakini kila nikivuta kumbukumbu sikumbuki popote nilipowahi kupasha kipolo!!
 
Kiongozi, hii staili yetu ni rahisi sana kupasha kipolo kwa sababu watu mnaachana huku mawasiliano yakiwa bado mazuri!! Lakini kila nikivuta kumbukumbu sikumbuki popote nilipowahi kupasha kipolo!!

mimi mgonjwa wa viporo na ndio mana naconclude hivi, huwez kuniona nagombana na x wangu kizembe zembe, ntaendelea kuwasupport vizuri tu
 
Back
Top Bottom