Daspaul
Member
- Jan 19, 2014
- 6
- 0
Habari ndugu zangu wana JF,
Leo nataka tu mjue kuwa hakuna mtu yeyote apataye Mafanikio kupitia lelemama na Uzembe.
Kujituma ndio siri ya mafanikio, Mtu mvivu/mzembe anatengeneza umasikini for the rest of his life... Ukiwa muwajibikaji hutojutia maisha unayoishi coz mafanikio huja yanapotafutwa sio kukaa na kusubiri kizembe....
#tukunyema
Leo nataka tu mjue kuwa hakuna mtu yeyote apataye Mafanikio kupitia lelemama na Uzembe.
Kujituma ndio siri ya mafanikio, Mtu mvivu/mzembe anatengeneza umasikini for the rest of his life... Ukiwa muwajibikaji hutojutia maisha unayoishi coz mafanikio huja yanapotafutwa sio kukaa na kusubiri kizembe....
#tukunyema